Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani mkuu swali nimelifananisha kama swali la mtoto wa darasa la tatu ndivyo huwa wanauliza hivyo.Mtawala kama nani ambae ameiba na hajadhibitiwa?
Huna hoja Wala uthibitisho zaidi ya kuropoka Kwa hearsay za vijiweniSamahani mkuu swali nimelifananisha kama swali la mtoto wa darasa la tatu ndivyo huwa wanauliza hivyo.
Swali la kitoto ulilouliza mtu hawezi jibu mkuuHuna hoja Wala uthibitisho zaidi ya kuropoka Kwa hearsay za vijiweni
Empty skullSwali la kitoto ulilouliza mtu hawezi jibu mkuu
Kwa huo ushauri hafaii kuwa HATA kiongozi wa NZENGOHata tozo ilianza hivihivi.
Hivi hii nchi ingekuwa vitani au tungekuwa na vikwazo vya kiuchumi ingekuwaje?
jitu stupid kabisa. Yamejiongezea mamilioni mishahara, hilo halioni, takataka stupid bladifaken
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.
Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.
“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”
PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Umewaza kwa kina sana hata majanga ya kimbunga tu juzi tumeyatatua kwa ku dandia dandia tu, na wale wanauchumi wa bobezi hawana ushauri kwa serekali juu ya kuongeza pato kuliko hili la kuizikamata simu za wananchi? na jee kampuni za simu zikiamua kubadili biashara watatoa wapi hiyo hela walio iwazia kuichukuwa?Hata tozo ilianza hivihivi.
Hivi hii nchi ingekuwa vitani au tungekuwa na vikwazo vya kiuchumi ingekuwaje?
Hakuna mtu anayekataa kuchangia maendeleo,lakini ukiangalia kuwa wabunge hawa ndiyo kila mwaka wanaletewa report ya CAG iliyojaa ubadhirifu lakini wanashindwa kutumia haki yao ya kikatiba kuibana serikali ili wabadhirifu wa kodi zetu wawajibishwe kazi yao ni kupiga makofi,vigelele na kukata mauno bungeni huku wakifurahia posho na mafao yao leo hii wanapoleta hoja tuzidi kukamuliwa inatia ukakasi kabisa. Tuna uhakika gani na matumizi sahihi ya hela hizo ikiwa hizo ambazo zimeshapangiwa matumizi zinafisadiwa kila mwaka?Naunga mkono hoja,hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii ,watu wanataka Barabara ila hawataki kuchangia pesa za ujenzi, unadhani pesa itashuka na mvua?
Una uhakika? Mbona Serikali Huwa inatoa taarifa ya hatua ilizochukua? Au wewe unatakaje labda?Hakuna mtu anayekataa kuchangia maendeleo,lakini ukiangalia kuwa wabunge hawa ndiyo kila mwaka wanaletewa report ya CAG iliyojaa ubadhirifu lakini wanashindwa kutumia haki yao ya kikatiba kuibana serikali ili wabadhirifu wa kodi zetu wawajibishwe kazi yao ni kupiga makofi,vigelele na kukata mauno bungeni huku wakifurahia posho na mafao yao leo hii wanapoleta hoja tuzidi kukamuliwa inatia ukakasi kabisa. Tuna uhakika gani na matumizi sahihi ya hela hizo ikiwa hizo ambazo zimeshapangiwa matumizi zinafisadiwa kila mwaka?
Wangekuwa wanachukuliwa hatua huu upuuzi usingekuwa unajirudia au at least ungepungua lakini kinyume chake ni kuwa kila mwaka ubadhirifu unaongezeka .Una uhakika? Mbona Serikali Huwa inatoa taarifa ya hatua ilizochukua? Au wewe unatakaje labda?
Tungenyooka aisee. Bandari wamewapa waarabu halafu wametupandishia ushuru wa bandari na kufanya maisha yawe magumu halafu wanataka tena kutukamua hela kwenye simu? Qumer ya mama zao!Hata tozo ilianza hivihivi.
Hivi hii nchi ingekuwa vitani au tungekuwa na vikwazo vya kiuchumi ingekuwaje?
Nitajie Nchi ambayo wanachukuliwa hatua na upuuzi haujirudii.Wangekuwa wanachukuliwa hatua huu upuuzi usingekuwa unajirudia au at least ungepungua lakini kinyume chake ni kuwa kila mwaka ubadhirifu unaongezeka .
HahahaUkinunua line unalipa mtandao unakatwa ushuru. Ukinunua vocha unakatwa, ukituma hela unakatwa, ukitoa hela unakatwa, ukinunua umeme unakatwa ya umeme na nyingine, tozo unakatwa…..
unakatwa unakatwa unakatwa “UNAKATWA”.
View attachment 3004582