Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi,hicho unachoita utitiri wa tozo ndio hakijatosha kujenga Barabara.Kuchangia tayari kunafanywa, tena kwa kupitiliza kupitia utitiri wa tozo nyingi na kodi. Kuongeza tozo zingine juu ya zilizopo ni unyang'anyi na uporaji dhidi ya wananchi.
Wanaosema ccm imechoka wana hoja, wasikilizwe
Ubwaa kabisa mbunge kilaza wa chama cha wezi....huwezi sikia wakiongelea posho zao kupungwa wao wako tu kupiga makofi
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.
Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.
“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”
PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Mwambie ukweli huyo mjinga!Alaaniwe agongwe na nyoka mwenye sumu kali afe kinywa wazi
Viti maalum ni ushetani kabisa!Ubununge wa viti maalumu ufutwe hauna tija.kwa Nini posho zao zisipunguzwe ili kuongeza pesa mfuko wa barabara? Yaani wao wawakamue wtz masikini lakini wao wanunue v8 GXR za milioni 450.
Ulishawahi kupitia ripoti za CAG?Nimekwambia Nchi hii ni kubwa na mahitaji ni mengi,hicho unachoita utitiri wa tozo ndio hakijatosha kujenga Barabara.
Sasa tuache au tujuchange tena? Leta jibu
Nchi gani imedhibiti wizi hapa Duniani? Pili kwani wizi haudhibitiwi? Ripoti ya CAG imefanya nini?Ulishawahi kupitia ripoti za CAG?
Suluhisho ni watawala kuacha utapeli, wizi na ufisadi wa mali za umma.
Kujaribu kurundika tozo mpya juu ya tozo zilizopo bila kudhibiti wizi ni sawa na kujaza maji kwenye tenga.
Tozo zilizopo zinatosheleza mahitaji na kuzidi wizi ukidhibitiwa..
Ndiyo, wizi wa watawala haudhibitiwi, kila mwizi na fisadi anakula kwa "urefu wa kamba yake", na ndiyo sababu hawaoni shida kuongeza tozo kila wakatikwani wizi haudhibitiwi?
Mtawala kama nani ambae ameiba na hajadhibitiwa?Ndiyo, wizi wa watawala haudhibitiwi, kila mwizi na fisadi anakula kwa "urefu wa kamba yake", na ndiyo sababu hawaoni shida kuongeza tozo kila wakati
Kosa lake lipi?Alaaniwe agongwe na nyoka mwenye sumu kali afe kinywa wazi
Wabunge wengi ni wajinga na wenye maarifa ya kuungaunga.
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.
Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.
“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”
PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
🤣 🤣 🤣Alaaniwe agongwe na nyoka mwenye sumu kali afe kinywa wazi
🤣 🤣 🤣Huyu mbunge alaaniwe na familia yake
🤣 🤣 🤣Huu ubunge wa chupi ufutwe,pumbavu kabisa huyo kahaba
Ni ujinga, kwanini mishahara na posho zao isipunguzwe wakajenge hizo barabara?Huyo katumwa kama Zungu alianza issue ya tozo kama utani kipindi cha Kambare