PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Huyu mbunge alaaniwe na familia yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakate 100Mil kila lainiShilingi hamsini si kitu, wakate hata 100 Kwa kila laini.
Naunga mkono hoja,hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii ,watu wanataka Barabara ila hawataki kuchangia pesa za ujenzi, unadhani pesa itashuka na mvua?
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa barabara Nchini.
Kirumba ameshauri hilo leo May 30,2024 wakati akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameanza kwa kushauri mfuko huo kubuni njia mpya ya upatikanaji wa fedha.
“Tumekuwa tukisaini barabara mpya kila kukicha barabara kongwe hazipitiki na naendelea kusisitiza Road Fund iangalie chanzo kipya tumeona katika bajeti ya taknolojia na habari walisema laini ambazo ziko active ni milioni 72 sasa ni wakati wa kuona kama ni katika kupitia chanzo cha simu tunaweza kupata kwa kila laini Tsh. 50 ili iweze kuisaidia Road Fund na hili inabidi tuongee ukweli tatizo la kiuzalendo na tunapoendelea mbele tuangalie tunaisaidiaje Road Fund”
PIA SOMA
- Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu
Siyo wabunge wetu wananchi, ni wabunge wa mchongo, ndiyo maana hawajaliWabunge wetu ni wabinafsi sana, kwa nini wasikatwe wao kwanza?
Good idea YANYOKWE?YUPO SAHIH GOOD IDEA
Hawataki kuchangia kivipi?watu wanataka Barabara ila hawataki kuchangia pesa za ujenzi
Barabara ya Lindi haijaisha Ila full viraka Mbunge analalamika barabara Ina mashimo na HAPO bado haijaisha yaan ni sawa na kujaza maji kwenye Tenga nani achange, wachukue zile Pesa wanazotaka kuwapa wake wa viongozi million 20 kwa Mwezi kila mmojaNaunga mkono hoja,hakuna mjomba wa kujenga Nchi hii ,watu wanataka Barabara ila hawataki kuchangia pesa za ujenzi, unadhani pesa itashuka na mvua?
Barabara imechoka ,itajengwa upyaBarabara ya Lindi haijaisha Ila full viraka Mbunge analalamika barabara Ina mashimo na HAPO bado haijaisha yaan ni sawa na kujaza maji kwenye Tenga nani achange, wachukue zile Pesa wanazotaka kuwapa wake wa viongozi million 20 kwa Mwezi kila mmoja
Nchi hii ni kubwa na Ina mahitaji mengi na usisahau ni Nchi ya 5 Kwa idadi ya watu Africa.Hawataki kuchangia kivipi?
Tanzania kuna utitiri wa tozo kila mahali hadi petroli ni cheap Zambia kuliko Dar yenye bandari.
Tatizo ni wizi na ufisadi wa watawala
Mimi napendekeza 400/= kila wiki
Mbunge wa Viti Maalum Santiel Eric Kirumba ameishauri Serikali kuweka makato ya Tsh. 50 kwa kila laini ya simu kwa ajili ya Mfuko wa Barabara (Road Fund) ili kuuwezesha kuwa na makusanyo yatakayowezesha ujenzi na ukarabati wa
Kuchangia tayari kunafanywa, tena kwa kupitiliza kupitia utitiri wa tozo nyingi na kodi. Kuongeza tozo zingine juu ya zilizopo ni unyang'anyi na uporaji dhidi ya wananchi.Nchi hii ni kubwa na Ina mahitaji mengi na usisahau ni Nchi ya 5 Kwa idadi ya watu Africa.
Hakuna shortcut lazima kuchangia tuu la sivyo Barabara zikiharibika tukae hivyo hivyo