Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Kama hujui, miaka mi5 ya magufuli hajawahi tumbua ewura iliyo chini ya mbunge wa chato.

Mradi wa wakubwa huo.
 
Huo Mkataba ulikuwa enzi za Utawala wa Kijerumani 1824! Tuendelee kuchapakazi ndugu zangu! HapaKazi tu!
 
Ndiyo anasemaje kuhusu petrol? Kuna watu humu wanaishi kwa kufuata mawazo ya vibaraka wa mabeberu - Lissu, Mbowe, et al. bila hao hawawezi kuwa na msimamo.
sasa mtu hayuko bungeni unataka aseme nn?
hamna mtu anajali mawazo yanatoka mbinguni au kuzimu. kila mtu ashinde mechi yake
 
Mimi nikiwa raisi masaa wiki tu watadunga sumu.

Kuna vitu vinatia hasira.
Siasa ni mfumo mbovu kwa nchini yetu.

MUNGU TUINULIE MZALENDO WA KWELI TOKEA POPOTE ATAKAYETUPA KATIBA MPYA.Amina
 
Hivi sasa Chama cha Mataga ni full kuumbuana. Waziri mzima kuumbuliwa na Mbunge tena wa Chama kimoja ni hatari sana.

Naona kila dalili ya baadhi ya Wizara kutopitishiwa badgets zao. Siyo kwakuwa si rafiki kwa Wanachi la hasha. Bali ni kuonekana kwa Mawaziri wake ni Mizigo kwenye Wizara hizo. Sababu nyingine ni chuki iliyojengeka kati ya baadhi ya Mawaziri na Wabunge. Hii itawapelekea baadhi ya Wabunge kuwakomoa Mawaziri hao.
 
Duuh bongo kiboko kuchanganya rangi tuu watu wanalipwa mabilion ya kutosha na waziri anakili kuwa hao jamaa ni mafisadi vijana wapo mtaani hamtaki kuwapa ajira kisa ubinafsi na roho mbaya...
 
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1752][emoji1752][emoji1752][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…