Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Mbunge Shabiby aibua ufisadi wa kutisha EWURA, Waziri wa Nishati Kalemani asema walishavunja mkataba na kampuni fisadi

Kalemani ni Mbunge wa chato na Watu wa chato wanajulikana kwa upigaji wa pesa za walipa kodi? Kampuni ya nani hii yenye huu mkataba!? Usikute ni kampuni ya Jiwe? Na huu mkataba umesitishwa lini? Details ziwekwe hadharani tangu mwanzo wa mkataba hadi kusitishwa kwake.
labda hii ndio sababu ya kumfukuza yule DG wa EWURA kipindi kile ili aweke mtu wake.
 
Ufisadi wa kutisha wa Magufuli wazidi kuanikwa

Kama Shujaa wa Mazezeta angekuwepo asingeruhusu haya yaibuliwe
Hivi unafikiri kwanini kitumbua cha bulldozer Maja kilitaka kuingia mchanga kama sio pekuapekua yake bandarini?
👊 😎✌️💥
 
Na kwainavyoonekana magufuli anahusika kwenye huu wizi.
 
Ni kuweka vinasaba na sio rangi, jibu la kalemani lilinitia mashaka sana kwanini alikimbilia haraka kusema mkataba wa kampuni hiyo umesitishwa? Kwanini sasa? Je alijua kuwa kweli ulikuwa ni wa kifisadi? Hii issue haijakaa sawa pia Shabby alisema ana majina ya wabunge waliopewa rushwa na huyo agent ili EWURA wampe kandarasi Agent huyo.


Moderator JamiiForums tunaomba hii clip kuweka hapo juu kwenye huu uzi.
 
Nchii hii watu wanakula sana keki.......kila mtu akipata nafasi anapiga tu, maana haina mifumo mizuri
Si ndio tuliambiwa awamu ya magufuli ilikomesha ufisadi sasa kama siyo yeye aliyekua anachota hayo mabilioni kila mwezi atakuwa nani?
 
Lakini Shabiby angeeleza ili watanzania wajue kama kampuni hiyo ya kitapeli ilikuepo tangia enzi za MWENDAZAKE au baada yake. Kama ilikua ikitapeli tangu wakati huo, basi hilo nalo ni kaburi lingine
Kwani utaratibu wa kuweka rangi kwenye petrol umeanza March 18?
 
Naona habari ijakamilika kabisa,ungesema jina la kampuni na ili sign mkataba na Ewura lini?
 
Mbunge wa Gairo mh Shabiby amesema kuna kampuni inalipwa kati ya sh bilioni 5 hadi 7 kila mwezi kwa kazi ya kuweka rangi kwenye mafuta yanayotumika nchini.

Shabiby amesema fee hizo ni nyingi mno kulinganisha na kazi ndogo sana inayofanywa na kwamba kazi hiyo ingeweza kufanywa bure na TBS

Shabiby kasema kazi hiyo wamepewa kampuni binafsi ambayo inatupiga haswa.

Waziri wa nishati mh Kalemani alitoa taarifa kwamba mkataba wa kampuni hiyo ya kifisadi ulishasitishwa lakini mh Shabiby aliikataa taarifa hiyo na kusema hata jana aliiwaona watendaji wa kampuni hiyo wakiendelea na kazi hiyo ya kitapeli

Source: ITV habari

Ramadhan Kareem!

Mama yetu mpendwa, wembe uleule ulio mung'oa Kigogo wa Bandari!!
Waziri Kalemani binamu wa mwendazake hatumhitaji hapo Wizarani....tumbua mama tumbua!!

Tuondolee MAJIPU yaloachwa na mwendazake. Very likely huu ulikuwa ndo UPIGAJI WA JIWE kwa kupitia ndugu zake alokuwa amewajaza kwene Taasisi nyeti...!!!

Tutaelewana tu.....!!!
 
Mama yetu mpendwa, wembe uleule ulio mung'oa Kigogo wa Bandari!!
Waziri Kalemani binamu na mwendazake hatumhitaji happy Wizarani....tumbua mama tumbua!!

Tuondolee MAJIPU yaloachwa na mwendazake. Very likely huu ulikuwa ndo UPIGAJI WA JIWE kwa kupitia ndugu zake alokuwa amewajaza kwene Taasisi nyeti...!!!

Tutaelewana tu.....!!!
Ukisikiliza clip ya shabiby wakati anaongea Bungeni,utagundua ni vigogo wa ngazi za juu serikalini ndio wanahusika maana wanajiamini kiasi kwamba wanatishia hata watu waliokuwa wanajaribu ku-expose huu wizi.
 
Bwasheee tulikubaliana kwamba JIWE alimaliza Ufisadi.

Jiwe hakumaliza Ufisadi baali alianzisha Ufisadi wa kisayansi na wale waliojaribu kuvuruga hiyo sayansi yake waliishia aidha KUSHAMBULIWA KWA RISASI AU KUPOTEZWA NA WATU WASOJULIKANA!!!

Mbona tutasikia mengi....!! Naona Kama CCM wameanza kupoteana sijui Kama titafika 2025...!!!!!
 
Back
Top Bottom