Mbunge Shabiby: Wapigaji wameongezeka serikalini, sitasifia kila kitu

Anasema kama wakiongelea habari ya sukari kwa undani, mle mjengoni hakutakalika. Betina atakuwa amepata majibu yake hata kabla kamati kuchakata.

Tulia atakuja kupata aibu ya mwaka kwa Mpina. Atajuta kwa uzembe/uchawa wake kwa serikali.
 
Your browser is not able to display this video.
Mbunge wa Shabiby akitoa mchango wake bungeni amedokeza namna wizi ulivyoenea kwa sasa nchini huku akimtaka Waziri wa Fedha kukaa pembeni kumpisha ikiwa kama kazi imemshinda. Akifafanua hoja hiyo Shabiby anasema:

Ukiwa waziri wa Fedha unatakiwa uwe ngangari kama umeshindwa niachie mimi nafasi nije nikae hapo, unafanya kazi nzuri lakini inabidi uwe ngagari kwenye hizi vitu. Mtu akitaka kuchukua pes, na kama ukitaka kuwa mzuri kwa kila taasisi hiyo kazi haiwezekani.
Nchi imefikia mahali ambapo sasa hivi lazima tuseme ukweli, wapigaji wamekuwa wengi. Wengine utasikia tu mama anaupiga mwingi, sio anaupiga mwingi kana kwamba anamsifia kwenye moyo, anaupiga mwingi yeye anaiba hela. Anatandika pesa halafu akija huku anasifia.
 
Sinema tu.

Wao ndio wako bungeni na wana uwezo wa kufanya Jambo lakini wanaishia kupiga soga tu.
 
Issue ya miundo mbinu ya barabara inaenda kuwa jangwa miaka hii 2, nilishasema hapa wakandarasi wanadai hela nyingi sana kwa miradi ya mwaka juzi na jana, mbaya zaidi mwaka huu barabara nyingi zipo kwenye hali mbaya sana.

Nafikiri wazo la Shabiby ni zuri waongeze Bajeti
 

Inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…