Mbunge Sillo ataka waliolipa Kampuni ya Symbion Bilioni 350 wawajibishwe haraka

Mbunge Sillo ataka waliolipa Kampuni ya Symbion Bilioni 350 wawajibishwe haraka

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

FS9-EAXWYAAaNFU.jpg
 
Move nzuri,wajitokeze wengi,asiachiwe huyu na Luhaga Mpina peke yake,hizi ndio kazi za wabunge wananchi tunahitaji bunge lizifanye
Uko sahihi ni Kweli jambo akiachiwa Mbunge mmoja ndio yanakuja yale mambo anasema hivi kwa sababu kakosa uwaziri alafu hoja za msingi za Taifa mnaziacha na kufanya watu kuendelea na ulaji
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
 

Attachments

  • 9DA06FCC-B3A9-44EF-B247-AC6802E0FE3C.jpeg
    9DA06FCC-B3A9-44EF-B247-AC6802E0FE3C.jpeg
    63.3 KB · Views: 6
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
Mbunge Sillo , tafadhali 2025 chukuafomu ya Urais kupitia ccm.
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
 

Attachments

  • 90305B6F-9752-4499-B146-0026C042D85C.jpeg
    90305B6F-9752-4499-B146-0026C042D85C.jpeg
    57.4 KB · Views: 5
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
Kama unadaiwa kulipia deni ni uungwana. Nakumbuka kuwa Symbion alikuwa na mkataba wa ku-supply umeme kwa TANESCO kupitia mitambo yao waliyoinunua kwa DOWANS kipindi JK ndiye Rais.

Lakini alipokuja Magufuli alikuwa na dhana kuwa kila mkataba wa TANESCO ni wa wapigaji hivyo akavunja mkataba bila kufuata taratibu. Wenyewe walifungua mashtaka kwenye vyombo vya kimataifa na wakshinda kipindi hicho hicho cha Magufuli.

Suala la kulipa siyo OPTION bali ni lazima. Hata kama Magufuli angekuwa hai angelipa tu kama alivyomlipa mkulima wa South Africa Hermanus Steyn ambaye alishika ndege zetu kule Canada.

Mwambieni mbunge Daniel Sillo anywe maji baridi atulie ili akili imkae sawa
 
Kama unadaiwa kulipia deni ni uungwana. Nakumbuka kuwa Symbion alikuwa na mkataba wa ku-supply umeme kwa TANESCO kupitia mitambo yao waliyoinunua kwa DOWANS kipindi JK ndiye Rais.

Lakini alipokuja Magufuli alikuwa na dhana kuwa kila mkataba wa TANESCO ni wa wapigaji hivyo akavunja mkataba bila kufuata taratibu. Wenyewe walifungua mashtaka kwenye vyombo vya kimataifa na wakshinda kipindi hicho hicho cha Magufuli.

Suala la kulipa siyo OPTION bali ni lazima. Hata kama Magufuli angekuwa hai angelipa tu kama alivyomlipa mkulima wa South Africa Hermanus Steyn ambaye alishika ndege zetu kule Canada.

Mwambieni mbunge Daniel Sillo anywe maji baridi atulie ili akili imkae sawa
 

Attachments

  • EF96B24C-8BD6-48A7-9E81-9A68DC8B6B53.jpeg
    EF96B24C-8BD6-48A7-9E81-9A68DC8B6B53.jpeg
    87.7 KB · Views: 5
Acheni tulambe asali. Hizo fedha zinakuja mitaani. Mtakuwa Sukuma Gang nyie.
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
Bunge halina meno vinginevyo kashfa hii ilitakiwa serikali nzima iachiwe ngazi. Hakuna namna pesa kubwa kiasi hicho inaweza kutoka bila kibali cha ikulu
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
Wanawake 40 hujifungua kila siku katika kituo cha afya Katoro kilichopo wilayani Geita hali inayosababisha msongamano wodini na baadhi yao kulala wawili katika kitanda kimoja.
Source: Mwananchi
 
Uko sahihi ni Kweli jambo akiachiwa Mbunge mmoja ndio yanakuja yale mambo anasema hivi kwa sababu kakosa uwaziri alafu hoja za msingi za Taifa mnaziacha na kufanya watu kuendelea na ulaji
Hakika, ili jambo lifanyiwe kazi lazima lilalamikiwe na wengi, kisha hatua zichukuliwe
 
Kama unadaiwa kulipia deni ni uungwana. Nakumbuka kuwa Symbion alikuwa na mkataba wa ku-supply umeme kwa TANESCO kupitia mitambo yao waliyoinunua kwa DOWANS kipindi JK ndiye Rais.

Lakini alipokuja Magufuli alikuwa na dhana kuwa kila mkataba wa TANESCO ni wa wapigaji hivyo akavunja mkataba bila kufuata taratibu. Wenyewe walifungua mashtaka kwenye vyombo vya kimataifa na wakshinda kipindi hicho hicho cha Magufuli.

Suala la kulipa siyo OPTION bali ni lazima. Hata kama Magufuli angekuwa hai angelipa tu kama alivyomlipa mkulima wa South Africa Hermanus Steyn ambaye alishika ndege zetu kule Canada.

Mwambieni mbunge Daniel Sillo anywe maji baridi atulie ili akili imkae sawa
Wewe ni utoko halisi
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
Ujue mihemko haileti tija,kama walishinda kesi sasa hapo watawajibishwa kwa ajili ya nini?

Tuwawajibishe walitufikisha kwenye kulipa hizo pesa .
 
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
SIO RAHISI kuwachukulia hatua
 
Bunge halina meno vinginevyo kashfa hii ilitakiwa serikali nzima iachiwe ngazi. Hakuna namna pesa kubwa kiasi hicho inaweza kutoka bila kibali cha ikulu
Iachie kwa sababu ya nini hasa? Aliyefikisha serikali huko ni Mwendazake na genge lake la wapumbavu..

So ulitaka Mabeberu watuharibie maslahi mapana zaidi ya Nchi Kisa bil.350? Hii ndio hasara ya kuwa na viongozi wasio na akili kama Mwendazake wanaongozwa kwa mihemko badala ya facts..

Chini ya uongozi wa Magufuli hii Nchi imepata hasara kubwa Sana 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221105-124332.png
    Screenshot_20221105-124332.png
    96.7 KB · Views: 6
Iachie kwa sababu ya nini hasa? Aliyefikisha serikali huko ni Mwendazake na genge lake la wapumbavu..

So ulitaka Mabeberu watuharibie maslahi mapana zaidi ya Nchi Kisa bil.350? Hii ndio hasara ya kuwa na viongozi wasio na akili kama Mwendazake wanaongozwa kwa mihemko badala ya facts..

Chini ya uongozi wa Magufuli hii Nchi imepata hasara kubwa Sana 👇
Wewe Mwigulu ni mwizi, kuna siku utafikishwa mbele ya Pilato baada ya mafisadi wenzako kutoka madarakani
 
Hoja nzuri sana za kutetea maslahi ya taifa
MBUNGE wa Babati Vijijini, Daniel Sillo Baran ameliomba Bunge liazimie watu wote waliohusika na kashfa ya kuruhusu kufanyika malipo ya shilingi Bilioni 350 kwa Kampuni ya Symbion Power LLC wachukuliwe hatua za kisheria kwa kufanya ubadhirifu huo ili iwe fundisho kwa wengine.

"Malipo yaliyofanywa na TANESCO kwa Symbion takriban bilioni 350 fedha hizi ni nyingi sana, Leo tunalia miradi ya barabara, maji kwenye majimbo yetu, nishati ya umeme haipo lakini wenzetu ambao wamepewa dhamana kusimamia fedha za umma wanachezea fedha wawe na uchungu na watanzania.

Mbunge huyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti amesema hayo leo Novemba 5, 2022 Bungeni wakati akichangia Taarifa za Kamati za Bunge za PAC, LAAC na PIC kuwa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia fedha za umma wawe wanatembea vijijini kuona hali halisi ya maisha ya watanzania, tukumbuke hizi ni kodi za watanzania, tunakaa Bunge hapa miezi mitatu tunapanga bajeti, watu wachache wanakaa wanachezea fedha za umma jambo hili linaumiza sana

“Tuna miradi mingi ya kimkakati inahitaji fedha, tuna deni la Serikali linataka fedha tulipe watanzania wanashida ya maji tuna shida ya nishati ya umeme vijijini lakini wako wenzetu wameamua kucheza na fedha za umma naomba Bunge lako tukufu liazimie kuwachukulia hatua wote waliohusika na ubadhirifu wa fedha za uuma ili iwe fundisho kwa wengine sisi ni wawakilishi wa wananchi tunaelewa uhalisia wa wananchi kule” Amesema Mhe. Baran

View attachment 2407434
mbunge huyu aungwe mkono na wabunge wengine jasiri papoja na wananchi wasioogopa 'Retaliation' kutoka kwa wahusika wahusika.
 
Ujue mihemko haileti tija,kama walishinda kesi sasa hapo watawajibishwa kwa ajili ya nini?

Tuwawajibishe walitufikisha kwenye kulipa hizo pesa .
FAAEA31F-E417-45D2-BDDD-EA13D5DFD1F4.jpeg


Acha kutetea ujinga Symbion awajawahi shinda kesi na serikali na wala awakuwa na final agreement decision na serikali ya kuongezewa muda wa kuwauzia umeme TANESCO.

Walichokubaliana na TANESCO ni maelewano ya awali tu (MoU) ya kuwa wataongezewa muda but not final decision ya kuongezewa muda.

Serikali ya Magufuli ikagoma kuwaongezea muda so awakuwa na mkataba rasmi.

Kesi yao ilikuwa ni kudai damages based on MoU kwa mujibu wao wamefanya investment kwa uelewa wataongezewa muda, ivyo wanataka wafidiwe hasara ya huo uwekezaji.

Sasa MoU yenyewe imesainiwa siku tatu kabla ya mkataba kuisha huo uwekezaji wamefanya saa ngapi na una thamani wa hayo madai yao kweli.

Hiyo kesi ndio maana ata huko ilipo pelekwa aikusikilizwa. Magufuli kaondoka wamelipwa baada ya mwezi Symbian wameenda kufuta kesi yao ya geresha (tishia toto nyau).

Sio kila ujinga lazima huu utete wakati huna ata mgao katika huo ujambazi wao.
 
Back
Top Bottom