Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Hahaha Nchi hii Nishida tupuWazee wa kuchungulia michongo hao usikute katumwa huyu kila kitu kimeshapangwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha Nchi hii Nishida tupuWazee wa kuchungulia michongo hao usikute katumwa huyu kila kitu kimeshapangwa.
Kwa kifupi matatizo ya umeme kwenye nchi hii yako everywhere, kwenye uzalishaji, usafirishaji na usambazaji. Au haujawahi kusikia watu wamelipia gharama za kuunganishwa umeme na hawajaunganishiwa huduma kwa hadi miezi sita ?Tatizo la tanesco kwa sasa siyo kusambaza umeme bali hakuna umeme wa kutosha. Hivyo hata ukiigawa tanesco katika mashirika matatu utapata wapi umeme wa kusambaza?
Jitihada ielekezwe katika kutafuta vyanzo vipya na vingi zaidi vya umeme, usambazaji hauna tatizo kubwa!
Umeme wa kusambaza haupo hata kama utaligawa shirika hili.TANESCO ya sasa kwa namna ilivyo haitatufikisha mbali kama taifa.
Zipo options mbili za kuiboresha.
1. Kuboresha utendaji wa vitengo vyake vya uzalishaji, usafirishaji na usambazi wa umeme kama ulivyoeleza hapo.
2. Kuligawa shirika ili tupate mashirika mawili au matatu yatakayoshughulikia kikamilifu kazi hizo tatu.
In both two cases maboresho yanahitajika ili kuleta tija na ufanisi zaidi.
Mwenzetu Tarimba Abbas kaona approach ya pili ndio inafaa zaidi na kashauri hivyo.
Yote kwa yote, nyakati zijazo zinazihaji huduma ya kuaminika ya umeme (umeme uwe mwingi, usambazaji uwe wa uhakika).
Kwa muundo wa sasa TANESCO inabeba risks and responsibilities nyingi mno.
1. Maji yamekauka Kidatu - TANESCO
2. Visima vya gesi vinahitaji matengenezo - TANESCO
3. Nguzo zimeanguka Mafinga - TANESCO
4. Mfumo wa kununua LUKU una shida - TANESCO
5. Bibi Chausiku amelipia umeme hajaunganishwa - TANESCO
6. Kutengeneza nguzo za zege, kukata miti chini ya nguzo - TANESCO
7. Kubadili tariffs kwenda kwenye matumizi madogo - TANESCO.
8. Tunataka kuwauzia Malawi umeme - TANESCO
This is so much to do.
Tuiboreshe TANESCO kwa kweli, whatever the means, vinginevyo tutazidi kumlalamikia tu J. Makamba kila kunapokucha.
Kama nitakua sijakosea, kwenye aya zako zote tatu "umemjadili Tarimba na wabunge aina ya Tarimba".[emoji871]Wabunge aina ya Abbas Tarimba ni wabunge walioingia bungeni kusaka maslahi zaidi kuliko kuwakilisha wapiga kura.
[emoji871]Ukiona hivyo ujuwe kabisa kuna maslahi binafsi anawakilisha kutoka genge la kipigaji,ambalo linaiona kama fursa.
[emoji871]Binafsi hawa wabunge wafanyabiashara sampuli ya Tarimba,Musukuma,Abood nk,huwa nawachukulia kama wametafuta ubunge ili kujiweka karibu na michongo ya kibiashara zaidi.
Tatizo siyo management bali ni investment. Tuwekeze vya kutosha ili tanesco ipate uwezo.Kwa kifupi matatizo ya umeme kwenye nchi hii yako everywhere, kwenye uzalishaji, usafirishaji na usambazaji. Au haujawahi kusikia watu wamelipia gharama za kuunganishwa umeme na hawajaunganishiwa huduma kwa hadi miezi sita ?
Kijijini kwetu transformation iliungua tulikaa siku 45 ndipo tukafungiwa nyingine.
Mkuu, au tunazungumzia Tanzania mbili tofauti ?
Argument yangu ime base kwenye mahitaji yajayo ya umeme, ongezeko la wateja, uwezo wa TANESCO wa sasa, wingi wa majukumu waliyonayo, n.kUkubwa wa shirika unahusiana vipi na ufanisi wake ? Hata ukiligawa kuwa mashirika matatu kama utendaji wake katika hayo mashirika matatu utabaki hivyo hivyo, hakutakuwa na ufanisi wowote!! Inaelekea mbinu ya kuligawa shirika sio kulipatia ufanisi bali kutaka kuliuza kwa private operator.!! Huu ni mchongo wa Msoga Gang! Ndio maana wamemuweka Omar Issa kama Mwenyekiti wa TANESCO!!!
Remember Tanesco is very crucial to the success of other investments like the STANDAD GAUGE RAILWAY such that to put it into the hands of private operators can easily compromise national security!!
Argument kama hii ilitumika kuuza National Bank of Commerce kuwa ilikuwa inapata hasara kwasababu ilikuwa kubwa na watu wakapiga Pesa pale na Kaburu akachukua benki na assets zake kwa bei ya bure!!! We Shule learn from our past mistakes. KUFANYA KOSA SIO KOSA, KOSA KURUDIA KOSA.
TANESCO inahitaji maboresho makubwa. Tena sana ili kuongeza ufanisi na tija.
Huoni ni fursa ya watz kupata ajira?Dili lingine linapangwa, ukigawa maana yake menejimenti tatu, hapo tayari umemuongezea mlaji gharama. Pili mafisadi yatapewa ugawaji maana ndiko faida iliko uzalishaji itaachiwa umma.
Una uhakika kuwa ukubwa wa shirika na ufanisi wa shirika havina uhusiano? achana na causal relationship, lakini hata correlation hakuna? are you certain dude?Ukubwa wa shirika unahusiana vipi na ufanisi wake ? Hata ukiligawa kuwa mashirika matatu kama utendaji wake katika hayo mashirika matatu utabaki hivyo hivyo, hakutakuwa na ufanisi wowote!! Inaelekea mbinu ya kuligawa shirika sio kulipatia ufanisi bali kutaka kuliuza kwa private operator.!! Huu ni mchongo wa Msoga Gang! Ndio maana wamemuweka Omar Issa kama Mwenyekiti wa TANESCO!!!
Remember Tanesco is very crucial to the success of other investments like the STANDAD GAUGE RAILWAY such that to put it into the hands of private operators can easily compromise national security!!
Argument kama hii ilitumika kuuza National Bank of Commerce kuwa ilikuwa inapata hasara kwasababu ilikuwa kubwa na watu wakapiga Pesa pale na Kaburu akachukua benki na assets zake kwa bei ya bure!!! We Shule learn from our past mistakes. KUFANYA KOSA SIO KOSA, KOSA KURUDIA KOSA.
Tatizo la TANESCO ni investment and management.Tatizo siyo management bali ni investment. Tuwekeze vya kutosha ili tanesco ipate uwezo.
Una uhakika kuwa ukubwa wa shirika na ufanisi wa shirika havina uhusiano? achana na causal relationship, lakini hata correlation hakuna? are you certain dude?
Naomba uninukuu vizuri, sijasema rasilimali watu inatosha bali inawiana na investment iliyowekwa! Endapo investment itaongezwa na rasilimali watu pia itaongezwa kulingana na teknolojia na miundombinu itakayojengwa.Tatizo la TANESCO ni investment and management.
Hapo juu nimeshauri (kwa maoni yangu) kwamba iwe tunaligawanya au hatuligawanyi, tunatakiwa tuliboreshe kwa maana ya:-
Rasilimali watu
Teknolojia
Miundombinu
Fedha (Vitendea kazi, maslahi, n.k)
NB: Naheshimu maoni yako kwamba rasilimali watu (management) imeshatosha.
Alichosema Abbas Tarimba sio kipya kabisa...Wazee wa kuchungulia michongo hao usikute katumwa huyu kila kitu kimeshapangwa.
Naomba uninukuu vizuri, sijasema rasilimali watu inatosha bali inawiana na investment iliyopo.Tatizo la TANESCO ni investment and management.
Hapo juu nimeshauri (kwa maoni yangu) kwamba iwe tunaligawanya au hatuligawanyi, tunatakiwa tuliboreshe kwa maana ya:-
Rasilimali watu
Teknolojia
Miundombinu
Fedha (Vitendea kazi, maslahi, n.k)
NB: Naheshimu maoni yako kwamba rasilimali watu (management) imeshatosha.
Lengo la hiyo plan ni kuondokana na hilo ulilosema "moja tu inawashinda"Moja imewashinda tatu mtaweza?
TANESCO walipaswa wapate mshindani mmoja tu kutoka nje ya nchi awafunze adabu.
Wangeoneshwa namna ya kutoa huduma sio ujinga walionao sasa.
You don't get it.Je huo ufanisi unapatikana kwa kuivunja TANESCO katika mashirika matatu? Je ni Kweli Kuwa mashirika yakiwa madogo yana ufanisi kuliko makubwa? IS EFFICIENCY A FUNCTION OF SIZE?
Nadhani hapa kwenye hili tuko pamoja.Naomba uninukuu vizuri, sijasema rasilimali watu inatosha bali inawiana na investment iliyowekwa! Endapo investment itaongezwa na rasilimali watu pia itaongezwa kulingana na teknolojia na miundombinu itakayojengwa.