Mbunge Tawfiq: Biashara kati ya Zanzibar na Bara ni Kama Nchi Ziko Vitani

Mbunge Tawfiq: Biashara kati ya Zanzibar na Bara ni Kama Nchi Ziko Vitani

Sisi wafrika tuna roho mbaya sana.

Eti Sukari Bakhressa anasafirisha kutoka Brazili umbali mrefu sana kwa meli hiyo hiyo sukari ina bei nafuu kuliko inayotoka Mtibwa na Kagera.
Trump alikuwa sahihi
Ni shida sana swala la sukari limenishinda
 
Bwana Mbunge ameeleza sintofahamu iliyopo kati ya Zanzibar na Bara kwenye Biashara Kwa sababu Kuna utofauti mkubwa kiasi kwamba maingiliano ya biashara ni kama Nchi ziko Vitani wakati ziko kwenye Muungano

---
Mbunge wa Jimbo la Mpendae Unguja @toufiqsturky amesema Zanzibar kuna changamoto kubwa sana kwenye upande wa biashara, Mfanya biashara anaponunua bidhaa zake Zanzibar anachuka VAT analipa aslimia 15 anapochukua biashara hiyo nakuja bara anatakiwa tofauti ya asilimia 3 inakua asilimia 18

Amemuomba Waziri wa Fedha kuhakikisha mifumo ya wizara ya fedha inaenda na mifumo ya mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA


My Take
Dawa ni kuwa na Muungano wa Nchi Moja.

Pia soma Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Hizi ni nchi mbili zilizo ungana na hicho ni sahihi.
Basi na kutumia passport ni sahihi.
Mikopo misaada na mengineyo tugawane kwa nanuni za nchi mbili zilizo ungana.
 
Hivi hawa si ndio walisema si Watanzania ni Wazanzibar
Hivi si hawa ndio walikataa hata ndizi kupelekwa Zanzibar
Hivi si hawa ndio wenye katiba inayosema Zanzibar ni nchi kama Burundi

Hivi pesa kiasi gani (TRA) za zinavuka bahari kuja hazina Makao makuu

Utadhibiti vipi ubora wa bidhaa ikiwa kuna TBS na ZBS?

Hawa anataka kuingiza bidhaa hafifu zisizo na viwnago kwa kukwepa kodi kwa uchchoro wa Muungano
Mwisho wa siku anayeumia na uchochoro wa kodi ni Mtanganyika!
 
Bwana Mbunge ameeleza sintofahamu iliyopo kati ya Zanzibar na Bara kwenye Biashara Kwa sababu Kuna utofauti mkubwa kiasi kwamba maingiliano ya biashara ni kama Nchi ziko Vitani wakati ziko kwenye Muungano

---
Mbunge wa Jimbo la Mpendae Unguja @toufiqsturky amesema Zanzibar kuna changamoto kubwa sana kwenye upande wa biashara, Mfanya biashara anaponunua bidhaa zake Zanzibar anachuka VAT analipa aslimia 15 anapochukua biashara hiyo nakuja bara anatakiwa tofauti ya asilimia 3 inakua asilimia 18

Amemuomba Waziri wa Fedha kuhakikisha mifumo ya wizara ya fedha inaenda na mifumo ya mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA


My Take
Dawa ni kuwa na Muungano wa Nchi Moja.

Pia soma Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport
Baada ya kumaliaza kulalamika ameunga mkono bajeti? anacheza na akili za maiti wa nchi hii?
 
Hivi hawa si ndio walisema si Watanzania ni Wazanzibar
Hivi si hawa ndio walikataa hata ndizi kupelekwa Zanzibar
Hivi si hawa ndio wenye katiba inayosema Zanzibar ni nchi kama Burundi

Hivi pesa kiasi gani (TRA) za zinavuka bahari kuja hazina Makao makuu

Utadhibiti vipi ubora wa bidhaa ikiwa kuna TBS na ZBS?

Hawa anataka kuingiza bidhaa hafifu zisizo na viwnago kwa kukwepa kodi kwa uchchoro wa Muungano
Mwisho wa siku anayeumia na uchochoro wa kodi ni Mtanganyika!

Chuki zinakutesa sana mkuu
 
Chuki zinakutesa sana mkuu
Chuki iko wapi, si Wazanzibar wametanka si Watanzania ndani ya Bunge
Je si kweli SMZ ilisema imezuia ndizi kwasababu kuna sheria za nchi ya Zanzibar
Je, si kweli kwamba makusanyo ya TRA yanabaki Zanzibar
Je, si kweli kwamba kuna tofauti ya ushuru wa forodha kati ya Bara na Visiwani
Je, si kweli kwamba Zanzibar kuna shirika laviwango ZBS na si la Tanzania TBS?
Je, si kweli kwamba katiba ya Zanzibar inasema ni nchi kama Burundi

Chuki ipo wapi?
 
Na wanaopigwa vita ni watu wa huku bara.
Ukiwa Mbara kupeleka product yeyote kuuza zanzibar ni shida hata kama mtu anauhitaji wa biashara yako haji kununua kwako.
Ila mzenj kuja bara kufanya biashara ni rahisi wamejazana gerezani wanauza spere used za magari, wamejazana mitaani huku wanauza juice za miwa bila bughuza yeyote.
Mbara kajaribu biashara zenj lazima ufilisike.
Mbara zanzibar labda ukafanye kazi kwenye hoteli za wageni kama mpishi au mlinzi ingawaje nayo wanalalamika sana kwamba wanachukuliwa kazi zao wakati wao ni wavivu sana kufanya kazi hizo.
Wazanzibari ni matatizo sana huu Muungani Nyerere alituingiza chaka
Kaka kwa maelezo yako kama ni kweli basi hawa jamaa sio ndugu zetu kabisaaa!!!
 
Afadhali wao wazanzibar changamoto Yao ni biashara tu tofauti na wa bara ambao Nchi Yao inauzwa na mzanzibari yaani raia kutoka nje ya Nchi ya Zanzibar.
 
acha chuki za kipuuzi ndugu
Chuki wapi ndugu hadi wabunge wanaongelea haya mambo bungeni unasema chuki.
Huo ndio ukweli wenyewe wazenj wanachuki sana na watu wa bara.
Kuna mpemba hapa kitaa anauza juice ya miwa tumeamua kumuanzishia kampeni hadi ahame hapa kitaa sasahivi hatunywi juice zake
 
Chuki wapi ndugu hadi wabunge wanaongelea haya mambo bungeni unasema chuki.
Huo ndio ukweli wenyewe wazenj wanachuki sana na watu wa bara.
Kuna mpemba hapa kitaa anauza juice ya miwa tumeamua kumuanzishia kampeni hadi ahame hapa kitaa sasahivi hatunywi juice zake

wewe je huwachukii wa zenj?
 
wewe je huwachukii wa zenj?
Kwa sasa nawachukia sana hao wajinga.
Nilikuwa nje ya nchi kihoja nilichokutana nacho.
Huko kuna umoja wa watanzania (diaspora) wao ni wanachama halafu wao wana kaumoja chao cha wazanzibar tu ambapo wabara hawapo.
Halafu cha pili huko nje wenyewe hawajiiti watanzania wanajiita wazanzibar.
Jamaa ni wabinafsi halafu wabaguzi sana siwezi kuwapenda watu wa namna hiyo
 
Na wanaopigwa vita ni watu wa huku bara.
Ukiwa Mbara kupeleka product yeyote kuuza zanzibar ni shida hata kama mtu anauhitaji wa biashara yako haji kununua kwako.
Ila mzenj kuja bara kufanya biashara ni rahisi wamejazana gerezani wanauza spere used za magari, wamejazana mitaani huku wanauza juice za miwa bila bughuza yeyote.
Mbara kajaribu biashara zenj lazima ufilisike.
Mbara zanzibar labda ukafanye kazi kwenye hoteli za wageni kama mpishi au mlinzi ingawaje nayo wanalalamika sana kwamba wanachukuliwa kazi zao wakati wao ni wavivu sana kufanya kazi hizo.
Wazanzibari ni matatizo sana huu Muungani Nyerere alituingiza chaka
Mbara ukinunua kitu cha thamani Zanzibar utakiacha TRA.
Yaani ni Bora ukiagize kutoka China utafanyiwa delivery hadi home.
 
Kwa sasa nawachukia sana hao wajinga.
Nilikuwa nje ya nchi kihoja nilichokutana nacho.
Huko kuna umoja wa watanzania (diaspora) wao ni wanachama halafu wao wana kaumoja chao cha wazanzibar tu ambapo wabara hawapo.
Halafu cha pili huko nje wenyewe hawajiiti watanzania wanajiita wazanzibar.
Jamaa ni wabinafsi halafu wabaguzi sana siwezi kuwapenda watu wa namna hiyo
Mkuu walichokifanya ni kuendeleza utaratibu na maono ya walioasisi muungano.... hata huku si tuna umoja wetu tunauita Tanzania lakini bado wanaumoja wao wanauita Zanzibar
 
Back
Top Bottom