Mbunge Tawfiq: Biashara kati ya Zanzibar na Bara ni Kama Nchi Ziko Vitani

Mbunge Tawfiq: Biashara kati ya Zanzibar na Bara ni Kama Nchi Ziko Vitani

Mbara ukinunua kitu cha thamani Zanzibar utakiacha TRA.
Yaani ni Bora ukiagize kutoka China utafanyiwa delivery hadi home.
Kuna hoja kwanini inatokea hivyo

1. Kodi za ushuru wa kuingiza bidhaa zinatofautiana. Zanzibar wana ushuru kodi ndogo na pia uchochoro wa kukwepa kodi. Wana bandari huru kwahiyo bidhaa zinaingia tu hovyo na viwango duni
TRA wapo sahihi kwasababu ukiacha vitu viingie utawaumiza Watanganyika na kuua biashara

2. Kodi za TRA za Zanzibar zinabaki huko haziji hazina Dar es Salaam. Ukiacha milango wazi TRA hawatakuwa na mapato.

Wanachofanya TRA ni kuzuia abuse! ikiwa tutaacha bidhaa ziingie hovyo basi tufungue mipaka yote
Laiti tungekuwa na ushuru sawa wa forodha na kodi, na pesa za TRA zinakusanya makao makuu hapo tungeelewa, kwa hali ilivyo TRA wapo sahihi, vingenvyo Mtanganyika utaumia kisa kuwafurahisha wananchi wa nchi jirani

TRA wapo sahihi, huyu mbunge ni wale wale!
 
Ccm wanapotosha. Waseme Tanganyika kila wanapoitaja Zanzibar na kunapotajwa bara kuende sambamba na visiwani.
 
Kuna hoja kwanini inatokea hivyo

1. Kodi za ushuru wa kuingiza bidhaa zinatofautiana. Zanzibar wana ushuru kodi ndogo na pia uchochoro wa kukwepa kodi. Wana bandari huru kwahiyo bidhaa zinaingia tu hovyo na viwango duni
TRA wapo sahihi kwasababu ukiacha vitu viingie utawaumiza Watanganyika na kuua biashara

2. Kodi za TRA za Zanzibar zinabaki huko haziji hazina Dar es Salaam. Ukiacha milango wazi TRA hawatakuwa na mapato.

Wanachofanya TRA ni kuzuia abuse! ikiwa tutaacha bidhaa ziingie hovyo basi tufungue mipaka yote
Laiti tungekuwa na ushuru sawa wa forodha na kodi, na pesa za TRA zinakusanya makao makuu hapo tungeelewa, kwa hali ilivyo TRA wapo sahihi, vingenvyo Mtanganyika utaumia kisa kuwafurahisha wananchi wa nchi jirani

TRA wapo sahihi, huyu mbunge ni wale wale!
Sasa muunganiko upo wapi? Usahihi ni nini?
 
Bwana Mbunge ameeleza sintofahamu iliyopo kati ya Zanzibar na Bara kwenye Biashara Kwa sababu Kuna utofauti mkubwa kiasi kwamba maingiliano ya biashara ni kama Nchi ziko Vitani wakati ziko kwenye Muungano

---
Mbunge wa Jimbo la Mpendae Unguja @toufiqsturky amesema Zanzibar kuna changamoto kubwa sana kwenye upande wa biashara, Mfanya biashara anaponunua bidhaa zake Zanzibar anachuka VAT analipa aslimia 15 anapochukua biashara hiyo nakuja bara anatakiwa tofauti ya asilimia 3 inakua asilimia 18

Amemuomba Waziri wa Fedha kuhakikisha mifumo ya wizara ya fedha inaenda na mifumo ya mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA


My Take
Dawa ni kuwa na Muungano wa Nchi Moja.

View: https://twitter.com/earadiofm/status/1803654724836540514?t=goYwoNGKDz19yyB6FmrLxA&s=19

Pia soma Mbunge Mohamed Issa: Wanaotoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar wawe na Passport

Kwani Zanzibar Wana viwanda vya kutengeneza TV?
 
Kw
Chuki wapi ndugu hadi wabunge wanaongelea haya mambo bungeni unasema chuki.
Huo ndio ukweli wenyewe wazenj wanachuki sana na watu wa bara.
Kuna mpemba hapa kitaa anauza juice ya miwa tumeamua kumuanzishia kampeni hadi ahame hapa kitaa sasahivi hatunywi juice zake
Kwaio hizi sio chuki ? Duh, acheni roho mbaya hizo. Chuki za hali ya juu mlizonazo
 
Back
Top Bottom