Kaaibishwa kwa mengi. Muoaji ana ndoa ambayo haijavunjika na watoto 2
leo utakata sana mauno hapa dili imebuma.
pimbi wewe tafuta kazi ya kufanya unadhani ukuwadi nayo ni ajira? fanculo.
kwa nini usichukuwe nafasi ya Vick badala ya ya kukatamauno hapa?Mkuu mie kaniambia anaumwa..Swala la vikwazo kanisani siwezi kulikataa ila kama ni vyeti vya sakramenti ilo sio kikwazo kabisa vinaweza patikana na ndoa ikafungwa...Nachopinga hapa ni huu uswahili eti bwana harusi katapeli michango mara cjui kazaa sana cjui ujinga gani
Kazi ninayo kubwa tu we kipapa...Ukijua kazi yangu we na ukoo wenu wote wa uko bukoba mtapanga foleni kuleta cv zenu...
tatizo langu matumbo njaa kama wewe unayeishi kwa upambe jingaz
hivi upambe nao siku hizi ni ajila? unatia aibu sana wewe bi shosti.
ukwendele jinga wewe umeshazoea kuishi kwa kubombom, kuna sheria mpya inakuja kuingia mjini lazima ulipe road toll. wapiga mizinga kama wewe hamtokanyaga mjini.Kweli haya magazeti ya Huruma(SHIGONGO) yanachekesha sana. Nikiwa sina kazi ya kufanya huwa napenda kuyasoma yanapunguza stress na depression pia.
Binamu nipo nipo........ nimehamia jukwaa la wakubwa kwa muda nitarido soon
Uyo le mutuz kichwa maji si ndio kazitengeneza hizi habari ili atangaze blog yake alafu baadae anakukaja kuomba msamaha....Ebu shirikisha ubongo wako usibebe kila habari only sababu inasisimua.
Hiyo ni laana ya kuingilia ndoa ya mtu na kuzaa kabisa. Malipo hapa hapa dniani. Alipozaa watoto wawli na baba mkubwa ilihali anajua ana mke si aliona kapata?? Hatakaa asahau aibu hii na mimba kabandikwa. Uzuri wake aliuharibu kwa tamaa zake.
tatizo handsome ni mali ya umma. hamna mmiliki halali