Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Mbunge Vicky Kamata augua ghafla masaa machache kabla ya ndoa yake, Mume aingia mitini!

Status
Not open for further replies.
comment yako iko kama reflexive...na wewe ni muhanga?...tiririka mamito....

".....hivi nyie mnamjua uyo mwanaume ama mnasema tuu??????? akitokea tuu lazima ujikanyage utetemeke unapagawa kabisa ni ana mvuto uyo kaka ni handsome akiongoea unalewa kbs haringi charming anacheka na kilamtu kiufupi ni sukari ya warembo hakuna anaeweza kumkatatalia kitu charles ndo nawaambieni na wanaomjua wataagree anatujua wanawake udhaifu wetu wa kupenda kudekezwa kusifiwa mahaba mazito in bed baaaaass anatumaliza tuu ukija kwa vicky nae ni mtihani sjawahi skia habari nzuri kutoka kwake zaidi ya maugomvi ya kutoka na wanaume walooa wale wote ulowavuruga walikua na kinyongo na uchungu ushangingi ubabe ujuaji jeuri ya pesa ukajua u got this kumbe u got got!! jamani tuishi kwa upendo sisi wanawake ukimfanyia ubaya mwenzio its obvious litakurudia....."

Km Dk 10 hivi Nitarudi
 
Haya wee...
Huyo jamaa angekuwa mpagani kama miye wala isingekuwa shida angejifungia zake ndoa ya kimila kwisha kazi halafu sherehe Hyatt Kilimanjaro Hoteli kama kawaida
 
Haya kumekucha
Hii 2nd episode....ngoja tuendelee kutizama,langu jicho,sikio na mkono shavuni
 
Inawezekana kweli hayo mapenzi yalikua yaku force. Vicky alitumia jeuri ya fedha cse kwann akumchunguza?? Yote hayo angeyajua kama angekua karibu na familia ya muoaji. Shauri yake bwana.
 
Ina mana ndoa ya bomani jamaa hajatoa talaka inaonyesha still anampenda mkewe,huyu vicky inaonekana aliforce ndoa kwa jamaa ila jamaa nae kasanuka kibingwa
 
Bonge la bwana hiloooo!limemtokea mtu puani...!tema sumu mamaaaa tema sumuuuu!
".....hivi nyie mnamjua uyo mwanaume ama mnasema tuu??????? akitokea tuu lazima ujikanyage utetemeke unapagawa kabisa ni ana mvuto uyo kaka ni handsome akiongoea unalewa kbs haringi charming anacheka na kilamtu kiufupi ni sukari ya warembo hakuna anaeweza kumkatatalia kitu charles ndo nawaambieni na wanaomjua wataagree anatujua wanawake udhaifu wetu wa kupenda kudekezwa kusifiwa mahaba mazito in bed baaaaass anatumaliza tuu ukija kwa vicky nae ni mtihani sjawahi skia habari nzuri kutoka kwake zaidi ya maugomvi ya kutoka na wanaume walooa wale wote ulowavuruga walikua na kinyongo na uchungu ushangingi ubabe ujuaji jeuri ya pesa ukajua u got this kumbe u got got!! jamani tuishi kwa upendo sisi wanawake ukimfanyia ubaya mwenzio its obvious litakurudia....."

Km Dk 10 hivi Nitarudi
 
Ina mana ndoa ya bomani jamaa hajatoa talaka inaonyesha still anampenda mkewe,huyu vicky inaonekana aliforce ndoa kwa jamaa ila jamaa nae kasanuka kibingwa

Umewaza km mimi kweli kabisa mana angekuwa amtaki mkewe angeoa jana ila kachomoa!Inaonyesha kuna tatizo kati ya Vicky na jamaa.
 
Umewaza km mimi kweli kabisa mana angekuwa amtaki mkewe angeoa jana ila kachomoa!Inaonyesha kuna tatizo kati ya Vicky na jamaa.

Viti maalumu wanaishi kwa mashindano wazee w fursa wanawamega 2,inamaana jamaa akili yke ilirudi akaona anaowa chawote pia amri kwenye nyumba hana.
Unakaa kwa mwanamke hata kubweka huwezi ndio akaona heri aingie chaka.

Amemtia gundu mwenzake mana alijua anaolewa atabaki kucheza kwaito kwenye sherehe z wenzake tu
 
lara 1 nafika kule nakuta thread closed,,, kiufupi bibie mishipa ya aibu ilikatika toka mashwelwaaa alipokua akiuza mbufanga kwa franga kwny mikutano ya ...........
Hahaha!!!!!! alitaka ndoa ya macho lkn moyoni bado mizinga ya jkt anatumia sanaaaaaaaaaaaaa...
 
Last edited by a moderator:
mmmh sikelewuuu mi natafuta contact za jamaa maana huo mkwanja aliotoroka nao ni hatari sana.
 
Sasa kama walioana bomani...Whats Was The Problem..??.....the guy would have signed the damn papers if he no longer care about the 'official Lady'..........Poor Vicky.......She was played big time hapa.....
 
Hata mimi ningeweka kipingamizii tuuu, su ni mme wakeeee
 
".....hivi nyie mnamjua uyo mwanaume ama mnasema tuu??????? akitokea tuu lazima ujikanyage utetemeke unapagawa kabisa ni ana mvuto uyo kaka ni handsome akiongoea unalewa kbs haringi charming anacheka na kilamtu kiufupi ni sukari ya warembo hakuna anaeweza kumkatatalia kitu charles ndo nawaambieni na wanaomjua wataagree anatujua wanawake udhaifu wetu wa kupenda kudekezwa kusifiwa mahaba mazito in bed baaaaass anatumaliza tuu ukija kwa vicky nae ni mtihani sjawahi skia habari nzuri kutoka kwake zaidi ya maugomvi ya kutoka na wanaume walooa wale wote ulowavuruga walikua na kinyongo na uchungu ushangingi ubabe ujuaji jeuri ya pesa ukajua u got this kumbe u got got!! jamani tuishi kwa upendo sisi wanawake ukimfanyia ubaya mwenzio its obvious litakurudia....."

Km Dk 10 hivi Nitarudi

sawa mamaa! aisifuaye mvua imemnyea.....dak 10 zimepita mbona hujarudiii???????????:redface:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom