nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
comment yako iko kama reflexive...na wewe ni muhanga?...tiririka mamito....
".....hivi nyie mnamjua uyo mwanaume ama mnasema tuu??????? akitokea tuu lazima ujikanyage utetemeke unapagawa kabisa ni ana mvuto uyo kaka ni handsome akiongoea unalewa kbs haringi charming anacheka na kilamtu kiufupi ni sukari ya warembo hakuna anaeweza kumkatatalia kitu charles ndo nawaambieni na wanaomjua wataagree anatujua wanawake udhaifu wetu wa kupenda kudekezwa kusifiwa mahaba mazito in bed baaaaass anatumaliza tuu ukija kwa vicky nae ni mtihani sjawahi skia habari nzuri kutoka kwake zaidi ya maugomvi ya kutoka na wanaume walooa wale wote ulowavuruga walikua na kinyongo na uchungu ushangingi ubabe ujuaji jeuri ya pesa ukajua u got this kumbe u got got!! jamani tuishi kwa upendo sisi wanawake ukimfanyia ubaya mwenzio its obvious litakurudia....."
Km Dk 10 hivi Nitarudi