Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp we na kigwaWajinga ndo waliwao nenda kawahadithie wajinga wenzako hizi porojo
Rais hakejeli mtu. Alisema atatumbua majipu..anatumbua.Mbona kejeli za rais hazikukeri? Usisahau sheria ya maisha kuwa kila mtenda hutendwa
Ndiyo uelewa wakoRais hakejeli mtu. Alisema atatumbua majipu..anatumbua.
TaarifaHuyo Lema wenu bado "anatafutwa" na polisi hadi leo hii?
Eti polisi "wamevamia", dah.Taarifa
Leo Jumapili 30/10/2016 Polisi wamevamia nyumbani kwa Mbunge wa Arusha Mjini kwa Lengo la kumkamata.Hata hivyo hawakufanikiwa kumkamata kwa kuwa Mbunge hakuwepo nyumbani muda huo
Unajua maana ya "kuvamia" au ndio chumvi zenyewe?Wewe mgumu wa kuelewa walivamia kwenda kumkamata lakini alikuwa hayupo nyumbani kwake
Hivi bosi wa mbunge ni Rais, RC, DC au Wananchi waliomchagua?!Mtamtafuta kick mpaka gizani
Lakini Gambo kiboko ya Wapuuzi.
Lema ana kazi kwa Gambo
Lazima aelewe Gambo ni bosi wake
Apende asipende
Na Arusha gambo haondoki ng'o
Kwani wewe ni kipofu na kiziwi?Majipu yapi hayo ametumbua?