Mbunge wa Bunda ameidhalilisha CCM na anapaswa kukatwa jina lake uchaguzi ujao

Mbunge wa Bunda ameidhalilisha CCM na anapaswa kukatwa jina lake uchaguzi ujao

Hapana siyo nipewe mimi bali apewe mwingine mwenye uwezo na anayekidhi vigezo vya ubunge anayejuwa kero, changamoto na matatizo ya wana Bunda,anayejuwa nini atawafanyia wanaunda katika yale yote yaliyochangamoto kwao. Aliye mkazi na mwenyeji wa Bunda na ambaye analifahamu kwa undani jimbo lake.
Acha kujipendekeza.Umezidi.
 
Ndugu zangu watanzania,

Ukiwa mbunge wa jimbo lazima ufahamu na kutambua kuwa wewe ni kiongozi mkubwa sana ndani ya jamii,sauti yako ni kubwa ,una uwezo wa kufikisha chochote na kikasikilizwa na kupokelewa na Serikali,wewe ni sauti ya wananchi na mwakilishi wa watu waliokupigia kura na ambao hawajakupigia kura. Hivyo usimamapo popote pale bila kujali umejaa furaha kiasi gani au hasira kiasi gani ndani ya kifua chako ,wakati wote na muda wote unapaswa kuuchunga sana ulimi na mdomo wako.

Unapaswa kuwa mwenye kifua ,mwenye kupima kauli kabla ya kutamka hadharani,mwenye kudhibiti furaha,jaziba ,mihemuko,sifa na hata kujiepusha kutoa neno au maneno ambayo yataleta athari na sintofahamu katika jamii. Mbunge ni mtu anayeshiriki vikao vingi vya wazi na siri,mwenye kujuwa mambo mengi mazito na mepesi,machungu na matamu,ya viapo na miiko,ya siri na nyeti. Hivyo mbunge ni mtu anayepaswa kuwa timamu kiakili hata akiwa amelewa hapaswi kuendeshwa na pombe kichwani pasipo tafakari au kujielewa nini anatamka na anakusudia kutamka.

Kitendo cha mbunge kusimama Hadharani na kusema kuwa Alipitisha na kupigia kura kitu ambacho alikuwa Hakijuwi ni fedheha na aibu kwa mbunge mwenyewe ,ni kujidhalilisha na kukidhalilisha chama na wanachama waliomuamini na kumpitisha katika kura za maoni,ni kuwavunja moyo waliompigia kura kuwa mwakilishi wao Bungeni na kuwakatisha Tamaa viongozi wetu wa chama wanaokipigania chama usiku na mchana ,kwa jasho na machozi katika kuhakikisha kuwa chama kinapata ushindi katika kila uchaguzi wa ngazi zote na kuwatumikia wananchi kwa bidii na maarifa katika kuhakikisha kuwa wanapata huduma iliyo bora kutoka kwa serikali yao.

Amenifedhehesha na kunikwaza sana kama mwana CCM kindaki ndaki,Amenishangaza na kunisononesha Sana .Hapaswi kupewa nafasi ya kugombea tena uchaguzi ujao ,anapaswa kukatwa jina lake mapema sana .Hata kama pia anajuwa hatagombea uchaguzi ujao hakupaswa kuzungumza aliyoyazungumza kwa kuwa amekichafua chama na kuleta Taswira mbaya kwa chama. Ameonyesha kuwa hapaswi kuendelea kuaminiwa na chama ,hapaswi kushirikishwa mipango na mikakati mikubwa kwa kuwa ameonyesha kuwa na kifua kidogo na kukosa utulivu ,hekima na busara za kiuongozi,Ameonyesha kuwa chama kilikosea kumuamini na kumpa nafasi ya kupeperusha bendera ya chama ,anaonyesha kuwa chama kinapaswa kuwaomba msamaha wananchi wake kwa kuwapa mtu ambaye kumbe hana uelewa wa kufanya uchambuzi wa miswaada ilihali alikuwa anajuwa kuwa kazi ya Bunge na mbunge ni kutunga sheria,kuisimamia serikali n.k na wala hatoshi kuwa mbunge na kuwa Bungeni.

Anapaswa kukatwa jina lake kwa kuwa amejikata mwenyewe kabla ya kukatwa kwa kuwa ameonyesha hatoshi kuwa mbunge, hatoshi kuwa mwakilishi wa wananchi,hapaswi kushiriki wala kushirikishwa kwenye mipango na mikakati mikubwa ya aina yoyote ile , chama kina paswa kuwa naye chonjo sana ili asiendelee kukichafua chama na kuharibu Taswira njema ya chama chetu cha CCM. Kulikuwa na sababu gani ya kuongea aliyo yaongea hadharani? Alikuwa anamfaidisha nani? Alikuwa anatuma ujumbe gani kwa chama? Alikuwa anataka kuwaambia nini wapiga kura wake? Alikuwa anataka kupeleka ujumbe gani kwa jamii? Msimamo wake ni upi kwa sasa?

Kama mtu huna cha kuongea ni bora ukae kimya tu, hata kama umepewa nafasi ya kuongea ni bora uishie kusalimia tu na kukabidhi maiki.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Bora msimuue tu kama yule wa Ngorongoro mnayetaka kumuua
 
kuwakatisha Tamaa viongozi wetu wa chama wanaokipigania chama usiku na mchana ,kwa jasho na machozi katika kuhakikisha kuwa chama kinapata ushindi katika kila uchaguzi
Kwamba wabunge wanachaguliwa kuwa wawakilishi na watetezi wa chama badala ya kuwa watetezi na wasismamizi wa maslahi ya wananchi wa Jimbo lake bila kujali itikadi zao, rangi, jinsia au hali zao?

Kwamba wabunge walipitisha azimio la kukubaliana na IGA ya dipii world Kwa maslahi ya chama na sio maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi, hali au rangi au mahali wanapotoka?

Kwamba kinachoendelea Kwa maana ya wabunge mawaziri wanaozunguka nchi nzima kupigia chapuo DP world ni Kwa maslahi mapana ya chama na sio maslahi ya Watanzania?

Haya tukisema kwamba DP world waliwapa viongozi wa chama na serikali Rushwa ili wapewe dhamana ya bandari zetu za bahari na Maziwa Kwa muda usiojulikana tutakua tunakosea?

Tukesema kwamba nguvu inayotumika Kwa chama na serikali Kwa sasa kuwa ni maslahi binafsi yao na chama chao tutakua tunakosea?

Akili huna
 
Kama aliburuzwa alikuwa na sababu gani ya kwenda kuongea aliyo yaongea? Kwa faida ya nani? Kama hakuridhishwa na mswaada kwanini alipigia kura ? Kwanini siku ya kura asinge kaa kwenye makazi yake tu bila kuingia bungeni? Sasa kama hajuwi alichopigia kura ni vipi atapata ujasiri wa kwenda kuomba nafasi nyingine ya kuwa mbunge uchaguzi ujao ? Ni vipi aaminiwe kuwa mbunge kwa awamu nyingine wakati hawezi kutimiza majukumu yake ya kibunge?
Kuna sababu ya kupiga kura ikiwa atakayepiga kura ya kotofautiana afaa akae nyumbani kwake?

Majukumu ya kibunge ni kutanguliza maslahi ya chama kabla ya maslahi ya wananchi waliokuchagua? Mbona wewe ni mjinga sana? Ina maana dhana ya Bunge kusimamia serikali ni ipi ikiwa Kila linaloletwa na serikali bungeni Mbunge hapaswi kuhoji?
 
Kwamba wabunge wanachaguliwa kuwa wawakilishi na watetezi wa chama badala ya kuwa watetezi na wasismamizi wa maslahi ya wananchi wa Jimbo lake bila kujali itikadi zao, rangi, jinsia au hali zao?

Kwamba wabunge walipitisha azimio la kukubaliana na IGA ya dipii world Kwa maslahi ya chama na sio maslahi ya watanzania wote bila kujali itikadi, hali au rangi au mahali wanapotoka?

Kwamba kinachoendelea Kwa maana ya wabunge mawaziri wanaozunguka nchi nzima kupigia chapuo DP world ni Kwa maslahi mapana ya chama na sio maslahi ya Watanzania?

Haya tukisema kwamba DP world waliwapa viongozi wa chama na serikali Rushwa ili wapewe dhamana ya bandari zetu za bahari na Maziwa Kwa muda usiojulikana tutakua tunakosea?

Tukesema kwamba nguvu inayotumika Kwa chama na serikali Kwa sasa kuwa ni maslahi binafsi yao na chama chao tutakua tunakosea?

Akili huna
Sikiliza ndugu yangu na mtani wangu Dolphin T ,. Hakuna aliyechukua wala kura rushwa katika suala la uwekezaji wa aina yoyote ile katika Taifa letu. Serikali ya Rais mama samia imejipambanua katika kutekeleza miradi mingi kwa uwazi mkubwa sana.Ndio maana unaona ni katika awamu hii ambapo watanzania wamepata kujuwa kila aina ya miradi inayofayika na kiasi chake ,pamoja na mikataba mbalimbali.

Hakuna kampuni inayopata nafasi ya kuwekeza nchini au kutoa huduma kwa njia ya rushwa au kuwahonga viongozi wetu. Lakini pia uwekezaji wowote ule unaofanywa hapa nchini ni kwa maslahi mapana ya Taifa letu na siyo mtu binafsi au chama au kikundi cha watu wachache
 
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.
Mwenyezi mungu mjinga kama huyu aliepost huu Uzi mchukue haraka kwani ni hasara kwa taifa. Taifa halimhitaji kabisa mchukue na achomwe moto wa jehanamu.
 
Kuna sababu ya kupiga kura ikiwa atakayepiga kura ya kotofautiana afaa akae nyumbani kwake?

Majukumu ya kibunge ni kutanguliza maslahi ya chama kabla ya maslahi ya wananchi waliokuchagua? Mbona wewe ni mjinga sana? Ina maana dhana ya Bunge kusimamia serikali ni ipi ikiwa Kila linaloletwa na serikali bungeni Mbunge hapaswi kuhoji?
Kwani nani alimzuia kutoa maoni yake akiwa bungeni? Kama haelewi alichopigia kura ni vipi ataaminika kwa haya azungumzayo leo? Siyo kwamba kashawishiwa na baadhi ya watu kuzungumza aliyo yazungumza? Kama haelewi lugha ambayo imekuwa ikitumika katika nyaraka na miswaada mbalimbali inayowasilishwa bungeni ni vipi aendelee kuaminiwa kuwa mbunge? Ni vipi uchaguzi ujao apewe nafasi ya kupeperusha bendera ya chama?
 
Mwenyezi mungu mjinga kama huyu aliepost huu Uzi mchukue haraka kwani ni hasara kwa taifa. Taifa halimhitaji kabisa mchukue na achomwe moto wa jehanamu.
Mwenyezi Mungu siyo mwanadamu na hawazi kama mwanadamu.Hata hivyo mimi nakusamehe bure na kuomba mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye heri na baraka
 
Sikiliza ndugu yangu na mtani wangu Dolphin T ,. Hakuna aliyechukua wala kura rushwa katika suala la uwekezaji wa aina yoyote ile katika Taifa letu. Serikali ya Rais mama samia imejipambanua katika kutekeleza miradi mingi kwa uwazi mkubwa sana.Ndio maana unaona ni katika awamu hii ambapo watanzania wamepata kujuwa kila aina ya miradi inayofayika na kiasi chake ,pamoja na mikataba mbalimbali.

Hakuna kampuni inayopata nafasi ya kuwekeza nchini au kutoa huduma kwa njia ya rushwa au kuwahonga viongozi wetu. Lakini pia uwekezaji wowote ule unaofanywa hapa nchini ni kwa maslahi mapana ya Taifa letu na siyo mtu binafsi au chama au kikundi cha watu wachache
Kwanza nakuomba Kwa heshima na taaluma, Mimi sio ndugu yako, Mimi ni mwanajukwaa mwenzako, kinachotukutanisha au kuniunganisha na wewe ni mijadala tu.

Hii falsafa ya kuitana ndugu inatujengea aibu ya kuambizana ukweli pale tunapokosea hasa Kwa watu tuuliowapa dhamana ya kusimamia rasilimali zetu kama viongozi.

Pili Mimi sio mtani wako, Kwa ufahamu wangu wa historia za makabila Mimi sina utani na watu wenye majina ya kufanana na wewe. Kwa hiyo ibakie tu kuwa sisi ni wanajukwaa. Na mambo tunayojadili Hapa hayana utani Bali ni serious kabisa.


Rushwa ni mambo ya Siri sana na kudhihirika kwake hutokana na matendo yanayofuatana na hapo Kwa mfano kupora haki uhuru na kufanya upendeleo usio wa wakawaida.
 
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.
Akili zako zipo MKUNDUNI kwako
 
Kwanza nakuomba Kwa heshima na taaluma, Mimi sio ndugu yako, Mimi ni mwanajukwaa mwenzako, kinachotukutanisha au kuniunganisha na wewe ni mijadala tu.

Hii falsafa ya kuitana ndugu inatujengea aibu ya kuambizana ukweli pale tunapokosea hasa Kwa watu tuuliowapa dhamana ya kusimamia rasilimali zetu kama viongozi.

Pili Mimi sio mtani wako, Kwa ufahamu wangu wa historia za makabila Mimi sina utani na watu wenye majina ya kufanana na wewe. Kwa hiyo ibakie tu kuwa sisi ni wanajukwaa. Na mambo tunayojadili Hapa hayana utani Bali ni serious kabisa.


Rushwa ni mambo ya Siri sana na kudhihirika kwake hutokana na matendo yanayofuatana na hapo Kwa mfano kupora haki uhuru na kufanya upendeleo usio wa wakawaida.
Sio kwa kumkataa huko,ni aibu kuwa na undugu na CHOKO kama huyo MWASHAMBA,hongera kwa kulikana CHOKO
 
Kasema ukweli kabisa. Wabunge wengi huwa wanaburuzwa ili kuendana na matakwa ya rais hata kwenye upuuzi kama huu wa bandari. Ukiwahoji wabunge mmojammoja utagundua kuwa huu mkataba waliupitisha kwa kuburuzwa na spika ili kutimiza matakwa ya rais ya kuuza bandar.
Siyo huyo tu! Wengi wanasema kuwa hakukuwa na mjadala wa bunge kuhusiana na mkataba wa bandari. Ulipelekwa ili kutimiza tu takwa la DP, ionekane ulipitishwa na bunge, na hivyo kutokuukana hapo baadaye.

Na huyo aloyeileta hii porojo, ni mtu ambaye huwa anapenda kujitoa ufahamu. Hao watu ambao hawakuchaguliwa na wapiga kura, wanamwakilisha nani? Wala hawawajibiki kwa yeyote zaidi ya yule aliwateua ili wawe wanatumika kama mihuri tu, na siyo kama watu wenye uwezo wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom