Mbunge wa Bunda ameidhalilisha CCM na anapaswa kukatwa jina lake uchaguzi ujao

Mbunge wa Bunda ameidhalilisha CCM na anapaswa kukatwa jina lake uchaguzi ujao

Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.

Pia, soma: Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe
CCM yote inapaswa kukatwa. Period.

CCM must Go.
 
Kama aliburuzwa alikuwa na sababu gani ya kwenda kuongea aliyo yaongea? Kwa faida ya nani? Kama hakuridhishwa na mswaada kwanini alipigia kura ? Kwanini siku ya kura asinge kaa kwenye makazi yake tu bila kuingia bungeni? Sasa kama hajuwi alichopigia kura ni vipi atapata ujasiri wa kwenda kuomba nafasi nyingine ya kuwa mbunge uchaguzi ujao ? Ni vipi aaminiwe kuwa mbunge kwa awamu nyingine wakati hawezi kutimiza majukumu yake ya kibunge?
Unataka aaminiwe na nani? Landa hujui hata namna walivyozipata hizo nafasi.
 
Siyo kwamba kashawishiwa na baadhi ya watu kuzungumza aliyo yazungumza
Kwanini usiseme alishawishiwa kupiga kura hata kama hajui anachoenda kupiga kura ili kulinda maslahi ya chama?

Kuna taarifa kwamba kulikua na kikao Cha wabunge wote siku Moja kabla ya kujadili na kupiga kura. Huoni kama ndiko walikomshawishi kupiga kura asochokijua!

Unataka kuniambia kwamba wabunge wote ni wataalamu wa Sheria?. Dhamiri yake imemsuta imebidi akiri mbele ya waliomtuma ambao ni wananchi wake.
 
Unataka aaminiwe na nani? Landa hujui hata namna walivyozipata hizo nafasi.
Walizopata kura za kuwapeleka Bungeni Baada ya kupewa nafasi ya kupeperusha bendera na chama na hatimaye wakapigiwa kura na wananchi ,walioonyesha imani yao kwa CCM na ilani yake ,hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa. CCM Ndio chama chenye uchungu na maisha ya watanzania na kilichoonyesha uwezo wa kiuongozi katika kuwaongoza na kuwaletea maendeleo wananchi. Ndio chama pekee chenye sera ,ajenda na Dira inayoeleweka
 
Asilimia 90 ya Wabunge wa CCM ni Mambumbumbu.
 
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.

Pia, soma: Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe
Lini Wabunge waliwauliza Wananchi wao kuhusu mkataba wa Bandari?
 
CCM Ni chama safi na chenye mikono safi
Ndiyo maana unaonekana kama hayawani. Chama ambacho watu mpaka wanauana ili kupata madaraka, halafu unasema ni chama safi ja kina mikono safi!! Kweli wewe umezidi hata kwenye uhayani.

"CCM hawaachiani hata maji mezani" - Jakaya Kikwete.

"Nikiwa kazini, viongozi wenzangu waliniwekea sumu" - Hayati Magufuli.

"CCM ni kokoro, nimekusanya watu wote, wazuri na wabaya" - Rais Mwinyi.

Halafu taahira mmoja, asiye na mbele wala nyuma, anasema CCM ni takatifu!!
 
Ndiyo maana unaonekana kama hayawani. Chama ambacho watu mpaka wanauana ili kupata madaraka, halafu unasema ni chama safi ja kina mikono safi!! Kweli wewe umezidi hata kwenye uhayani.

"CCM hawaachiani hata maji mezani" - Jakaya Kikwete.

"Nikiwa kazini, viongozi wenzangu waliniwekea sumu" - Hayati Magufuli.

"CCM ni kokoro, nimekusanya watu wote, wazuri na wabaya" - Rais Mwinyi.

Halafu taahira mmoja, asiye na mbele wala nyuma, anasema CCM ni takatifu!!
Acha kuandika vitu pasipo ushahidi. Nani waliuawaba kwa ajili ya kutafuta madaraka?
 
Kama haelewi lugha ambayo imekuwa ikitumika katika nyaraka na miswaada mbalimbali inayowasilishwa bungeni ni vipi aendelee kuaminiwa kuwa mbunge? N
Kuna wanafunzi wanaosoma shuleni Mika Saba lakini hawamwelewi mwalimu labda kutokana na lugha inayofundishiwa shuleni lakini walimu hawawakatai Wala kuendelea kuwaamini.

Lakini wa kulaumiwa ni CCM na serikali yake Kwa kuwa na katiba mbovu ya kijinga ambayo inamtaka mtu anayetaka kuwa mwakilisgi kwenye chombo Cha kutunga sheria na kuismimamia serikali awe anajua kusoma na kuandika.

Sasa je unadhani lugha ya kimkataba aumbayo ni lugha ya kisheria angeweza kuielewa hata angepewa mwezi au mwaka mzima.?

Umeendelea kuweka bayana kwamba amekisaliti chama. Sio kweli dhambi ya kuwasaliti wananchi ndio inayomtafuna ndio mana amewaangukia, sio chama kilimchagua ni wananchi waliomchagua na kumtuma kuwawakilisha. Tumia akili Mwashambwa
 
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.

Pia, soma: Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe
Subirini 2025, CCM ishashinda 2020 kwa kura nyingi 87%/13% na wabunge 349/1. Mmetumia ukabila mmeshindwa, mtatumia udini, hakuna - CCM ishashinda 202o na kwa kasi hii sioni kama mna upenyo wa kupita.
 
Acha kuandika vitu pasipo ushahidi. Nani waliuawaba kwa ajili ya kutafuta madaraka?
Kwanini usijibu hizo quotations za viongozi wakuu alizoainisha hapo?
Kwanini usikumbuke Job ndugai alimpiga kichwani fimbo opponent wake kwa kuzimia. Hali ambayo ingemsababishia kupoteza maisha
 
Ndugu Zangu Watanzania: Umuhimu wa Uongozi Mzuri na Viongozi wa Kuaminika

Katika kipindi hiki cha mjadala wa kisiasa na kuleta maendeleo nchini Tanzania, ni muhimu sana kwa viongozi wetu, hasa wabunge, kuelewa jukumu kubwa wanalolobeba katika jamii. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi, sauti ya watu, na wana jukumu la kuwawakilisha ipasavyo kwa masuala muhimu ya kitaifa.

Sauti ya mbunge ni kubwa, na wana uwezo wa kuhamasisha na kufikisha ujumbe kwa serikali na jamii kwa ujumla. Wanawakilisha wananchi wote, waliowapigia kura na hata wale ambao hawakupiga kura. Hivyo, wanapaswa kuwa makini na maneno yao na vitendo vyao, kwani yanaweza kuwa na athari kubwa kwa jamii.

Wakati wa kutoa matamshi au kauli hadharani, ni muhimu kwa wabunge kuzingatia uhalisia wa mambo wanayoyazungumza. Wanapaswa kufikiri kwa kina kabla ya kutoa kauli, kwa kuwa maneno yao yanaweza kusababisha athari na hata sintofahamu katika jamii. Uongozi mzuri unahitaji hekima, busara, na uvumilivu.

Mbunge anahusika na majukumu mengi, kutoka kwenye vikao vya wazi hadi vikao vya siri. Wanapaswa kuwa na ufahamu wa mambo mazito na mepesi, na wanahitaji kuwa timamu kiakili katika majukumu yao. Hata katika hali ya furaha au hasira, wanapaswa kujizuia na kudhibiti hisia zao, ili kuepuka kuleta mtafaruku au machafuko.

Ni wazi kwamba viongozi wetu wanapaswa kuwa na kifua cha kuweza kuvumilia mawazo tofauti, kuheshimu maoni ya wengine, na kutoa kauli zinazojengwa kwa msingi wa hoja na tafakari. Wanapaswa kuwa viongozi wa mfano kwa jamii, na hivyo ni muhimu kwa wao kuwa watulivu na kufanya maamuzi sahihi.

Hata hivyo, matamshi na vitendo visivyo na uzito vinaweza kuathiri sifa za mbunge na chama chake. Hivyo, ni jukumu la chama kuhakikisha kuwa viongozi wake wanazingatia heshima, misingi ya uongozi, na wajibu wao kwa wananchi. Kujitokeza hadharani na kusema mambo ambayo si sahihi ni kujidhalilisha na kuathiri imani ya wananchi.

Tunapaswa kuhimiza viongozi wetu kuchukua jukumu lao kwa uzito na kujitahidi kuwa viongozi wa kuaminika na wa heshima. Matamshi yao yanaweza kuwa na athari kubwa katika jamii, hivyo wanapaswa kutumia nafasi yao kwa hekima na umakini. Tuna wajibu wa kuwachagua viongozi wenye kujali maslahi ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Tuzidi kujitahidi kuwa na viongozi waadilifu na wenye ufahamu wa majukumu yao, ili kusongesha nchi yetu mbele kwenye maendeleo na amani. Tuwe macho na kuhakikisha kuwa wawakilishi wetu wanatimiza ahadi zao na kuendeleza ustawi wa nchi yetu.

Imetolewa na Lucas Hebel Mwashambwa, Mtanzania Mzalendo.

Simu: 0742-676627.

Pia, soma: Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe
Bora muanze kujipunguza wenyewe ili kutupunguzia mizigo.

Rorya inaenda upinzani
 
Back
Top Bottom