Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

Mbunge wa CCM apendekeza Vyuo Vikuu vianze kutoa Nusu Degree kwa Wanafunzi wanaoishia njiani

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂

====
Screenshot 2024-05-08 144332.png

Mbunge wa Bunda Vijijini, Peter Getere amesema mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu maarufu kama Boom, liondolewe kwa sababu wanafunzi wanaopata Boom hawasomi, wana nidhamu mbovu na wanalewa.

Amesema badala yake, wanavyuo walipiwe karo moja kwa moja kwa sababu wenye uhitaji wa kusoma ni wengi lakini wanakosa nafasi hiyo kutokana na kukosa karo.

Ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia kwenye makadirio ya bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂
Huyo Kishimba ana degree? Aambiwe suala la degree lina context ya international calibration of educational qualifications. Sasa hizo nusu degree nani atazitambua, serikali ya CCM peke yake ndani ya mipaka ya Tanzania?

Angekuwa na akili angesema angalau wapewe diploma au certificates, lakini kufanya hivyo huamui tu, inabidi chuo kifanye reconfiguration ya course, ukiishia mwaka wa tatu mfano, ikubalike hiyo ni equivalent to diploma.

Na kama angekuwa na akili sana, angesema wapewe mitihani ya equivalent course ya diploma

Kuna wabunge wanaongea utafikiri walisahau akili nyumbani
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂
Ndio hao hao wa T scan na Tc scan..... nchi hii Mungu kama yupo anyway , alikosea sana kuiumba au kumuumba Nyerere aliyetuletea ukomunisti na kila mmoja kuwa juha!
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂
Ana point... Inaweza kuwa mwaka WA kwanza certificate, wa pili diploma wa 3 advanced diploma wa nne degree. Kwa hiyo popote utakapoishia unaondoka na cheti chochote
 
Huyo Kishimba ana degree? Aambiwe suala la degree lina context ya international calibration of educational qualifications. Sasa hizo nusu degree nani atazitambua, serikali ya CCM peke yake ndani ya mipaka ya Tanzania?

Angekuwa na akili angesema angalau wapewe diploma au certificates, lakini kufanya hivyo huamui tu, inabidi chuo kifanye reconfiguration ya course, ukiishia mwaka wa tatu mfano, ikubalike hiyo ni equivalent to diploma.

Na kama angekuwa na akili sana, angesema wapewe mitihani ya equivalent course ya diploma

Kuna wabunge wanaongea utafikiri walisahau akili nyumbani
Mimi nadhani kawaza vizuri. Haya maboresho mazuri unayoyapendekeza usingeyaleta bila hoja yake kutikisa bunge ama nchi. Ana hoja nzuri lakini yanahitajika mambo kadhaa.
Nilisoma degree nchini Somalia kwa Kisomali. Haitambuliki kokote lakini nchini Somalia naheshimika sanaaa tu.
Hiyo nusu degree huenda alimaanisha stashahada au astashahada . Vijana wenye vyeti hivyo watafanya kazi nchini Tanzania. Sioni ubaya.
Apewe maua
 
Mimi nadhani kawaza vizuri. Haya maboresho mazuri unayoyapendekeza usingeyaleta bila hoja yake kutikisa bunge ama nchi. Ana hoja nzuri lakini yanahitajika mambo kadhaa.
Nilisoma degree nchini Somalia kwa Kisomali. Haitambuliki kokote lakini nchini Somalia naheshimika sanaaa tu.
Hiyo nusu degree huenda alimaanisha stashahada au astashahada . Vijana wenye vyeti hivyo watafanya kazi nchini Tanzania. Sioni ubaya.
Apewe maua
Mkuu, katika globalization ya leo na ushindani wa soko la ajira bado unawaza nusu degree za kutumika Tanzania peke yake?
 
Ni mbunge wa Kahama mh Kishimba

Amesema kama Mwanafunzi wa Degree ya miaka 4 akifika Mwaka wa 3 na kukosa Ada ya kuendelea na masomo basi Atunukiwe " Nusu Degree"

Source: EATV

CCM kuna Burudani sana 😂
Hadi sasa inatolewa kwa kuwa mtu anaweza kuahirisha mwaka!
 
Huyo Kishimba ana degree? Aambiwe suala la degree lina context ya international calibration of educational qualifications. Sasa hizo nusu degree nani atazitambua, serikali ya CCM peke yake ndani ya mipaka ya Tanzania?

Angekuwa na akili angesema angalau wapewe diploma au certificates, lakini kufanya hivyo huamui tu, inabidi chuo kifanye reconfiguration ya course, ukiishia mwaka wa tatu mfano, ikubalike hiyo ni equivalent to diploma.

Na kama angekuwa na akili sana, angesema wapewe mitihani ya equivalent course ya diploma

Kuna wabunge wanaongea utafikiri walisahau akili nyumbani
Uingereza unaweza kupewa diploma uiikishia njiani it is possble na siyo nusu degree hakuna kitu kama hicho.
 
Back
Top Bottom