Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Tusijisahaulishe M'bunge nae ni binaadamu kama binaadamu wengine, anapodhihakiwa au kutendwa nae anakasirika! na mtu anapokasirika anaweza kutoa kauli yoyote ile, na kauli haimuondolei kuwa mwakilishi wa wananchi.
 
Nyumba mmeiona?? mhurumieni tu jamaa kachoka sana....kwa nyumba hiyo muacheni tu
 
Screenshot_20230706-133410~2.png
Screenshot_20230706-133508~2.png
Hawa hapa wakila bata.
 
Back
Top Bottom