Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Kiukweli Duniani kama Tunawndelea kuishi na aina ya Wanawake wa Kariba hii sidhani kama kuna Mwanaume atathubutu kuwaoa Wanawake maana itakuwa maana ya kuoa ni Kujidhalilisha.
Mke anaenda kwa Mume Wake na Kamera ili amdhalilishe kwenye Mitandao ya Kijamii hapo ni hayo tuliyoyaona je ndani ilikuweje.
Tunauzoefu Wazazi Wetu Walioa Wanawake Zaidi hata ya Sita lakini hatujawahi kusikia Vibwrka Vya aina ya Anayejitaja Mke wa Mbunge.
Nadhani kitu kinachoitwa GBV kiangaliwe upya hii siyo nidhamu kwa Mume Wake
Kwa kweli ni shida. Ila wanaume tuna mchango mkubwa ktk kuwafanya wanawake wawe sawa. Kosa liko kwenye kuchangua mke; mke unakutana naye na kumchumbia ktk mazingira gani matters a lot. Wanawake ni wepesi wa kusema hovyo kwa hivyo wanaume wanapaswa ku exercise self control.
Mwanaume gombana na mke wangu ndani ya nyumba yako siyo nje ya nyumba.
 
Kuna mambo yanafurahisha sana, tapeli wa mapenzi...
 
Huyo mwanamke hafai kabisa, mambo ya kifamilia sio ya kuchukua video na kuitangazia dunia
Nia ya huyu binti ilikuwa kumtangazia mbovu mbunge na hii inadhihirika pale anapotaja ubunge wake na jimbo la Malaya mwenzie Jimbo la Tabora Mjini... Tabora kuchelile!
 
Pole yake sana ila kwenye clip inaonekana huyo Mwanamke ni "MKE WETU"(CHA WOTE) kwa mujibu wa Maelezo ya Mbunge.

Aina za MKE:-

1. MKE MKEO
2.MKE JINA
3.MKE WETU.
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Huyo mke ndio mpumbavu sana, kajidhalilisha mwenyewe , changamoto za ndani ya nyumba unamrekodije mwezi wako??
 
Mbunge alipandwa na hasira hakuikumbuka nafasi yake kwenye jamii, wajanja wakampiga picha, matokeo yake sasa ni lawama kwake hata kama kosa hatujui lilipoanzia.
Picha kapiga mkewe mpumbavu tu, inavyoonyesha huyo alikuwa nyumba ndogo alivyomplania jamaa, haikufaa kitu ndio króna amrekodi
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Tatizo wanawake wa sikuizi mna tamaa sana acha mdhalilishwe
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Na wewe naye umeanza utoto.Unajua wanagombea nini hadi wazazi kutajwa?Usitumike.Jitahidi uwe mpatanishi.Lwanzari haijajaa.Mtazikwa wote.
 
Domestic violence huwa Haina tajiri Wala maskini, Haina msomi Wala asiyesoma, Haina kiongozi Wala anayeongozwa

⚠️ Matajiri, wasomi, viongozi wa Kisiasa wapo katika risk kubwa ya migogoro ya ndoa kwa sababu ya kwanza huoa ma konki ya mjini yaliyojibadilisha rangi , yaliyofanya upasuaji huko uturuki ya kubadilisha muonekano na yaonekane vijana hata kama umri umeenda, .au kuonekana kama mazungu au maarabu au waliowanyanganya vijana masela wa mjini wasio na fedha
,,kumbe walishashindikana hivyo kwa tamaa ya macho na umaarufu na fedha WALIZOKUWA nazo hubeba matatizo hayo na kuyapeleka nyumbani kwenda kupambana nayo. Siku za mwanzo atakupetipeti utaona umepata subiri Sasa afungue makucha yake
kweli ndiyo maana elon musk,bill gates, jeff na matajiri wengi wamefukuza wake zao.😥😥😥
 
Itakuwa Mubunge hapigi miti ipasavyo, hiyo pisi inaonekana ni zile type za kupelekewa moto "kwerikweri"
Limwanamke linalobishana na mume bila staha ni bogus hilo.Halafu likamkodi na mjinga mwenzie arekodi upupu wao waulete JF akidhani ataonewa huruma bila kutueleza nini chanzo cha ugomvi wao kwa sababu tu ana sehemu za siri zenye maumbo/maumbile ya kike!Atumie akili.
 
Ulishasema Ni mbunge wa CCM.
Ni muda mrefu sijawahi kusikia habari nzuri toka kwa mbunge wa CCM.
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Ufuska hauna chama usiweke siasa hapo

Slaa alipora mke wa mahimbo, mboowe alizalisha mbunge wa viti maalum
 
Back
Top Bottom