desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
We ni pisikali usibishe au ushaleft unaona kabisa uko dume la mbegu jitathiminiMimi si mwanamke ila pia sioni dhambi Kwa MTU kuwa mwanamke, unless huna ndugu wa kike ndio utaongea ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni pisikali usibishe au ushaleft unaona kabisa uko dume la mbegu jitathiminiMimi si mwanamke ila pia sioni dhambi Kwa MTU kuwa mwanamke, unless huna ndugu wa kike ndio utaongea ujinga
Wewe ni mpumbavu, huna akili na utoto unakusumbua, wewe sio level yangu. Mpumbavu weweWe ni pisikali usibishe au ushaleft unaona kabisa uko dume la mbegu jitathimini
Hujaoa au kuolewa that's why umekuja na hii conclusion uliza watu waliopo kwenye ndoaSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
SAWAHujaoa au kuolewa that's why umekuja na hii conclusion uliza watu waliopo kwenye ndoa
Ile Tumekuwa tukiona ni really basi credibility HamnaSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Shida wapiHuyo mwanamke ndiyo mpuuzi!
Ushahidi tusiendekeze ujinga linalofanana na hiliMbona hata mbowe huwa anatoga sikio. Haya mambo ya kishabiki ya maisha binafsi ya watu mkome kuyaleta majukwaani
Umejuaje imeanzia katikati na haijafika mwishoHalafu clip imeanzia katikati na kuishi kabla ya mwisho. Hatujui nini kilitokea kabla na baada ya clip hii. Halfu mtoa mada, embu nitajie matusi unayosema yametajwa
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
hiyo nyumba alipo huyo unayedai mke ipo Moro si TaboraMwamba kaoa lini, kipindi anapambana kuchukua jimbo uchaguzi wa 2015 alikuwa anakaa zake hotel kisha anarudi Dar.
Itakuwa alisikiliza kelele za raia kwamba hana makazi sio mwenyeji akaamua aoe kabisa wana Mboka Manyema watulie, ndoa imemfanya aingie cha kike
Kiukweli Duniani kama Tunawndelea kuishi na aina ya Wanawake wa Kariba hii sidhani kama kuna Mwanaume atathubutu kuwaoa Wanawake maana itakuwa maana ya kuoa ni Kujidhalilisha.Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Usimuulize ndugu wa kike tuu, muulize kwani mama yake ni wa kiume?Mimi si mwanamke ila pia sioni dhambi Kwa MTU kuwa mwanamke, unless huna ndugu wa kike ndio utaongea ujinga
Ona walivyokuwa mapenzini hadi sare wanavaa, lakini kikiwaka basi utadhani hata kitanda kimoja hawajalala!Mapenzi ni nyoko aisee! Yaani mbunge ana pesa lkn mapenzi yanamtesa
ccm haijamtuma huyo mbunge kufanya hayo aliyofanyaSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988