johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Prof Assad: Sitapiga Kura tena nchi hii 😂😂Na wapiga kura wao ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof Assad: Sitapiga Kura tena nchi hii 😂😂Na wapiga kura wao ?
Tambua huyo ni kiongozi wa umma , na pia fahamu kwamba Serikali imetunga Sheria ya maadili ya viongozi wa umma.Mambo binafsi hayo hayatuhusu. Pia, iwe fundisho Kwa dada zetu kutoshobokea vya bure
Hawajui, wanaona kuwa Kiongozi ni lelemama! Kuna ethics zake Kuna Mambo inabidi uyakane! Asante sanaTambua huyo ni kiongozi wa umma , na pia fahamu kwamba Serikali imetunga Sheria ya maadili ya viongozi wa umma.
Katafute Sheria ya maadili ya viongozi wa umma na pia tafuta fomu ya tamko la Mali wanayojaza viongozi wa umma kila mwaka , utakutana na mambo mengi binafsi yanazungumziwa humo
Siwajui wote hao, lakini hili ninaweza sema.Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Na yeye kwanini amrekodi, wakati maswala ya kifamilia? Na wewe KWa nini ulete huku wakati hilo ni swala lao wenyewe? Au umbea unakusumbua?Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Mimi nimesikia "utaniuwa na sukari huwezi kufanyia umalaya ndani ya nyumba yangu" wanawake majanga tufanye makosa yote usifanye kosa kuchagua mke.
Wauza bandari. Hawana aibu ya chochote. Kila kitu kwa Ccm ni sawa. Na manguo yao ya kijaniSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Haya ni mambo binafsi usiyahusishe na madaraka ya mbunge ukiulizwa kalewa madaraka hapo kivipi una jibu?Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Bora uteseke ukiwa na hela kuliko ukiwa kapukuNadhani labda hujaelewa hoja yangu hapo. Sipingi kutokuwa na hela
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988