Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbowe na Lisu it is know they have wanaume as their hub, so msitake kuleta ujinga hapa wa kutudhalilisha wana CCM kupitia maisha binafsi. Kwanza mbunge naona kaongea poa kabisa na anaonekana ni lijali aka mwanaume! CCM Iko juuuu
Samahani I don't argue with idiots, nimeshapost kama unakereka jinyonge
 
Pale ndoa inapogeuka kuwa ndoano...
Ni wanaune wachache sana wanaoweza kuhimili taflani kama hii ktk hali tulivu licha ya chukizo na hasira zilizomjaa mhusika/ wahusika...

Alafu, mtu anapopaniki automatically anaweza kufanya jambo la ajabu bila kutegemea. Mfano: kuongea kwa sauti kubwa bila kujali yeye ni nani au nani atasikia... Kutukana, kupigana au kujeruhi pia...

Huu ni moja ya udhaifu mkubwa sana hasa kwa mwanaume/ wanaume... ili kupuka hali hii, ukiona mwelekeo wa maongezi yenu siyo mzuri ni bora ukanyamaza au kuondoka eneo hilo ...
 
Back
Top Bottom