Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hata mbowe huwa anatoga sikio. Haya mambo ya kishabiki ya maisha binafsi ya watu mkome kuyaleta majukwaaniSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Waswahili wanasema kwamba "ndoa ni elimu ya kipekee iliyo ngumu na isiyo na mwisho ambayo mtu unatunukiwa cheti Kwanza na Kisha mitihani inafuata".Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Halafu clip imeanzia katikati na kuishi kabla ya mwisho. Hatujui nini kilitokea kabla na baada ya clip hii. Halfu mtoa mada, embu nitajie matusi unayosema yametajwaSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Hakuna matusi kuna sifa!Halafu clip imeanzia katikati na kuishi kabla ya mwisho. Hatujui nini kilitokea kabla na baada ya clip hii. Halfu mtoa mada, embu nitajie matusi unayosema yametajwa
Hakika umesema vyema sanaWaswahili wanasema kwamba "ndoa ni elimu ya kipekee iliyo ngumu na isiyo na mwisho ambayo mtu unatunukiwa cheti Kwanza na Kisha mitihani inafuata".
Kwa hiyo, Mikasa kama hii inatakiwa kuchukuliwa kwa tahadhari kubwa sana, huenda 'root cause' yake imeanzia mbali sana na hatma yake huwa ni mbaya pia endapo kama uangalifu mkubwa hautazingatiwa katika ku-deal na matatizo kama haya.
Aidha, matukio ya Homicide mara nyingi sana chanzo chake huwa kinaanzia na hatua kama hizi.
Kwahio Mbowe yeye sio MTU binafsi, I don't argue with fools! Weka na ya Mbowe , mbona simple tuMbona hata mbowe huwa anatoga sikio. Haya mambo ya kishabiki ya maisha binafsi ya watu mkome kuyaleta majukwaani
Acha lawama za kipumbavu mbona umeegemea kwa mwanamke tu,matatizo yao unayajua!?Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Kwa Mbunge wa CCM ambaye hawezi hata kufagia uwanja wake! Mbunge wa DPWHapo ni kwa mbunge au wako mtaa wa saba?!
Lawama za kipumbavu unazo wewe, niyajue ya Nini?Acha lawama za kipumbavu mbona umeegemea kwa mwanamke tu,matatizo yao unayajua!?
Hata kwenye DP WORLD wanafanyaga hivi hivi.....Mbunge alipandwa na hasira hakuikumbuka nafasi yake kwenye jamii, wajanja wakampiga picha, matokeo yake sasa ni lawama kwake hata kama kosa hatujui lilipoanzia.
kamfuate, shujaa takataka, muuaji kuwahi kutokeaShujaa Magufuli alituweza sana 2020!
Yes lakini yeye ni mwakilishi wetu!Pamoja na tunachokiona lakini haya ni mambo yao binafsi...
Ningelikuwa samia ningelimfuta ubunge abaki raia mwenye hadhi ya matusi kama hayo. sasa Samia naye anauza nchi, atamkemeaje mwenzakeMbunge alipandwa na hasira hakuikumbuka nafasi yake kwenye jamii, wajanja wakampiga picha, matokeo yake sasa ni lawama kwake hata kama kosa hatujui lilipoanzia.
Ya kwake hayatuhusu hayo yamejaa majumbaniYes lakini yeye ni mwakilishi wetu!