bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Hana mamlaka hayiNingelikuwa samia ningelimfuta ubunge abaki raia mwenye hadhi ya matusi kama hayo. sasa Samia naye anauza nchi, atamkemeaje mwenzake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mamlaka hayiNingelikuwa samia ningelimfuta ubunge abaki raia mwenye hadhi ya matusi kama hayo. sasa Samia naye anauza nchi, atamkemeaje mwenzake
kupindukia ,anaingiza wanaume ndaniHuyo mwanamke ndiyo mpuuzi!
Unasemaje? si anamfuta uanachama wa CCM, then anatoka automatically. Then anamwambia omba upya uanachama uendelee kuwa mwanachamaHana mamlaka hayi
Mbowe na Lisu it is known they have wanaume as their hub, so msitake kuleta ujinga hapa wa kutudhalilisha wana CCM kupitia maisha binafsi. Kwanza mbunge naona kaongea poa kabisa na anaonekana ni lijali aka mwanaume! CCM Iko juuuuKwahio Mbowe yeye sio MTU binafsi, I don't argue with fools! Weka na ya Mbowe , mbona simple tu
Mwanamke mpumbavu sana. Wala hajatukanwa vizuriHuyo mwanamke ndiyo mpuuzi!
Tundu Lisu: Magufuli anasingiziwa kila Kitu kwa sababu amekufa!kamfuate, shujaa takataka, muuaji kuwahi kutokea
siku ukimjua mwanamke au ukiingia kwenye ndoa bas utajilaumu sana kwa hichi ulichokileta humuSijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Kwanini wewe ujafuata mizoga ya ndugu zako huko makaburi? Alimuua mama yako? Shithole!!kamfuate, shujaa takataka, muuaji kuwahi kutokea
Wabunge ndio wa mchongo[emoji23][emoji23]
Tuweke siasa kando, je unawajuwa vizuri wanawake?Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Nyie si ndo mlikuwa washangiliaji wakubwa, shangilia shangilia dot com,Shujaa Magufuli alituweza sana 2020!
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.
Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.
Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Yeah uko sahihiHao wamepishana lugha hakuna matusi hapo zaidi ya kutajwa ex mama mkwe wake
Nimehofu mno na mimi..kumbe tuko sawaHayo mazingira ndo yamenitisha.
Hapo chachaHapo ni kwa mbunge au wako mtaa wa saba?!
Rais hana mamlaka ya kumfuta ubunge mbunge.Ningelikuwa samia ningelimfuta ubunge abaki raia mwenye hadhi ya matusi kama hayo. sasa Samia naye anauza nchi, atamkemeaje mwenzake