Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

tukiachana na yote ya kisiasa kama mwanaume nipo upande wa mbunge huyo mwanamke jeuri sana,
na ndio tatizo lilipo angekua wise mother angetuliza yaishe kikubwa haya magumegume jau sana kurekodi kutafuta huruma,
hapo utakuta mwamba alikua silent hilo likaanza payuka na majirani washajua kitambo matatizo yao kabla hata mwamba hajatimba hapo

anyway watu hudhani wabunge wana pesaaaaa kumbuka kadri unavyopata vyeo na pesa majukumu huongezeka maana unajikuta wanao kutegemea wengi maana ndie uliyetoboa angalau kwenye family!
 
tukiachana na yote ya kisiasa kama mwanaume nipo upande wa mbunge huyo mwanamke jeuri sana,
na ndio tatizo lilipo angekua wise mother angetuliza yaishe kikubwa haya magumegume jau sana kurekodi kutafuta huruma,
hapo utakuta mwamba alikua silent hilo likaanza payuka na majirani washajua kitambo matatizo yao kabla hata mwamba hajatimba hapo

anyway watu hudhani wabunge wana pesaaaaa kumbuka kadri unavyopata vyeo na pesa majukumu huongezeka maana unajikuta wanao kutegemea wengi maana ndie uliyetoboa angalau kwenye family!
Bila kusahau lazima mbunge awe na machawa wake kila Kata wote hawa lazima uwape posho.
 
tukiachana na yote ya kisiasa kama mwanaume nipo upande wa mbunge huyo mwanamke jeuri sana,
na ndio tatizo lilipo angekua wise mother angetuliza yaishe kikubwa haya magumegume jau sana kurekodi kutafuta huruma,
hapo utakuta mwamba alikua silent hilo likaanza payuka na majirani washajua kitambo matatizo yao kabla hata mwamba hajatimba hapo

anyway watu hudhani wabunge wana pesaaaaa kumbuka kadri unavyopata vyeo na pesa majukumu huongezeka maana unajikuta wanao kutegemea wengi maana ndie uliyetoboa angalau kwenye family!
Mzee haya mambo ya migogoro ya kifamilia huwa si wish kabisa niyapitie ila kwenye maisha huwezi jua nini utakachoktana nacho mbele.
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Intermittent explosive disorder !! Hayo ni maradhi atafute matibabu !!
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Mambo binafsi hayo hayatuhusu. Pia, iwe fundisho Kwa dada zetu kutoshobokea vya bure
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988
Imevunja miiko ya uongozi
 
Ndio sampuli hii asimame na DP world kujadili terms za mkataba na akatunge sheria mjengoni????
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988

Kutofautiana ni jambo la kawaida, ila kukosa utulivu, ustahimilivu na Subra miongoni mwa wanafamilia kuna weza sababisha kujidhalilisha na kudhalilisha wasiohusika na kujikuta unaaibika mwenyewe vibaya sana na kukosa heshima miongoni mwa Jamii.
 
Sijui kwanini watu wanalewa madaraka kijinga hivi, hata kama mwanamke kakukera kiasi Gani huwezi kumtusi Tena unamtukania Hadi Mama yake Mzazi.

Halafu huyu ndio unataka awe Kiongozi wa kupigania haki, kweli? CCM mnatukosea sana.

Kutofautiana sio dhambi ila Kuna namna ya ku-handle issues especially unapokua Kiongozi
View attachment 2679988

Mghhh!noma
 
Back
Top Bottom