Mbunge wa CCM (Tabora) amdhalilisha mkewe hadharani

Tusijisahaulishe M'bunge nae ni binaadamu kama binaadamu wengine, anapodhihakiwa au kutendwa nae anakasirika! na mtu anapokasirika anaweza kutoa kauli yoyote ile, na kauli haimuondolei kuwa mwakilishi wa wananchi.
 
Nyumba mmeiona?? mhurumieni tu jamaa kachoka sana....kwa nyumba hiyo muacheni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…