SENZANGAKONA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 278
- 212
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Chadema ikisikia mbunge ameenda Lumumba haishtuki? Lakini kwenu nyie kukimbiwa ni visa na visasi hata ikiwezekana kumtafutia kifo?Mwambe kurudi CCM siyo habari....... HABARI ni huyu bwashee aliyetimba Lumumba kama ameamua kuunga mkono juhudi!
CCM haiwezi kukubalika kwa kuokoteza mamluki hivyo msijidanganye.