Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

Wakaangalie(kujifunza) ,korea kusini na Abu Dhabi

Kwamba , wanaenda walewale walioenda Dubai ,kujifunza kuhusu dp world ..... Aise!
 



MY TAKE:

huyu mbunge kwanza hana njaa! magari yake mpaka nauli Tsh 49,000 kutoka Dar kwenda dodoma yaan kila sku yeye anaingiza mamilioni ya hela

Anachukulia poa kuwakamua maskini ili wasaidie maskini wenzao!

yeye anapata mshahara 17Milioni kwa mwezi - Mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi! halafu wote mkatwe kwenye simu

Namuombea afe mdomo wazi kama vile anafosi kutoa haja kubwa iliyokaza

Coment hii aione kabla hajalala leo
 
Linapokuja swala la pesa huwa namuamini zaidi mfanyabiashara kuliko mtu mwingine tu wa kawaida au wa fani nyingine,shabiby ana hoja.
Tatizo ni hawa mboga mboga,waliokwapua hela za wastaafu mpaka mfuko umesinyaa,wataweza kuziangalia tu 2trn zikiwa zinasubiri kuchukuliwa na wizara ya afya kulipa madeni????
 

Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Sh2,000 kila mwezi kwenye laini za simu huku wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi wakikatwa Sh10,000 ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato kwa Bima ya Afya kwa wote.​


Amesema kuna wamiliki wa laini za simu milioni 72 nchini ambao makato yao kwa mwaka yataingiza Sh1.72 trilioni na zikijumlishwa za Sh10,000 kwa mwezi za wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi, Serikali itapata kwa mwaka takribani Sh2 trilioni.

Shabiby amesema hayo leo wakati akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Pia, ameshauri vituo vya kutolea huduma – hospitali, zahanati na vituo vya afya – vinavyomilikiwa na Serikali vibinafsishwe kama ilivyo Abu Dhabi na Korea Kusini.

Ameshauri madaktari na wauguzi waliopo nchini wajiunge na kubinafsishiwa hospitali badala ya kuwa chini ya Serikali. Shabiby alisema maana ya kutaka laini za simu zitumike kama chanzo cha mapato ni kutokana na anavyoona baada ya Bunge kupitisha muswada wa Bima ya Afya kwa wote na kusainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sheria, kuna hatari bima hiyo ikachangisha wananchi ambao awali walishindwa kuchangia hata Sh10,000 na Sh30,000 za mfuko wa CHF.

Kwa mujibu wa Shabiby, wanufaika wa bima katika Watanzania 100 ni watu wanane ambao wanalipa bima.

“Hasa ukiichukulia hii hatuna chanzo maalumu cha kupata pesa ambazo zinaweza zikasaidia wananchi wa vijijini na watu masikini pamoja na wananchi wa mijini, hata mijini wapo masikini wengi tu, tena hata zaidi ya hao wa vijijini,” amesema na kuongeza:

“Nimeona tulizungumzie bila woga, najua kuna mawazo tutatoa na watu watatukana kwenye mtandao, lakini acha watukane. Hii bima ya afya, ushauri ninaotoa tupende tusipende lazima tuingize chanzo cha muhimu ambacho tutakipata kwa urahisi,” amesema.

Amesema fedha hizo zinaweza kusaidia wananchi hasa wa vijijini ambao kipato ni kidogo kwa kutowawekea ukomo wa matibabu, kwamba wenye fedha ndogo na matibabu yao yanakuwa hayahusu magonjwa mengine makubwa.
Shabiby alishauri baada ya vyanzo hivyo, Serikali ihamie kwenye vyanzo vingine kama mazao kwa kutoza kila kilo moja Sh1 au Sh2.

“Kama mtu hana laini ya simu ina maana huyo masikini wa kutupwa, huyo hafai hata kuchukuliwa Sh200, atatibiwa kutokana na mifuko,” amesema.

“Sasa hiki kinachokuja, najua wengi mtanishangaa lakini ndio ukweli. Hizi hospitali, zahanati na vituo vya afya vijijini vifikie hatua ya kubinafsishwa. Huo ndiyo ukweli, tuige habari ya Korea Kusini, tusiwe wavivu, nendeni mkaangalie Korea Kusini wanafanya nini Abu Dhabi wanafanya nini,” amesema.

“Korea Kusini hakuna hospitali ya kijijini ambayo ni ya Serikali, hakuna kituo cha afya ambacho ni cha Serikali, zahanati zote zimeingizwa kwenye mfumo mmoja, vituo vya afya vyote vimo kwenye mfumo mmoja,” alisema.

“Lipo jengo kubwa wamejenga watu wa intaneti wapo hapo, ripoti zote zinakwenda kule mtu mwenye zahanati akitaka kulipwa na bima, wale lazima wanakague ile zahanati ilimtibu nini X hapa, kwamba nilimpiga x-ray, lakini nikaona nimtibu malaria nikampa Kwinini (Quinine), wale hawatalipa gharama za x-ray kwa sababu ni utapeli na watalipa gharama za matibabu ya malaria pekee,” alisema.

Alishauri Serikali iwe na mfumo wa aina hiyo utakaobaini wenye vitendo vya utapeli kwenye hospitali na zahanati. Shabiby alisema hospitali zinazopaswa kubaki chini ya Serikali ni zile za rufaa kama Hosptali ya Taifa ya Muhimbili.

Alisema utaratibu huo pia utaondoa tabia ya baadhi ya madaktari wa hospitali za Serikali na ambao wanafanya kwenye hospitali binafsi kuwa madalali wa kupeleka wagonjwa kwenye hospitali binafsi kwa kuziponda za Serikali kwamba hazina vifaa vya kutosha.

Mipango iliyopo ya Serikali ni kuwezesha huduma za bima kwa wote kwa mapato yatokanayo na ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vyenye kaboni, vinywaji vikali, bidhaa za vipodozi, michezo ya kubahatisha, ada ya vyombo vya moto, na mapato yatokanayo na ushuru wa miamala ya kielektroniki kwa kadri itakavyopendekezwa.

View attachment 2954755
Haya ndio mawazo ya wabunge wa CCM. Akili zao zimo tumboni. Ameongra utumbo tupu. Kwani miongoni mwa wanaomiliki simu, hakuna masikini? Mpuuzi kabisa.
 

Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Sh2,000 kila mwezi kwenye laini za simu huku wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi wakikatwa Sh10,000 ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato kwa Bima ya Afya kwa wote.​


Amesema kuna wamiliki wa laini za simu milioni 72 nchini ambao makato yao kwa mwaka yataingiza Sh1.72 trilioni na zikijumlishwa za Sh10,000 kwa mwezi za wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi, Serikali itapata kwa mwaka takribani Sh2 trilioni.

Shabiby amesema hayo leo wakati akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Pia, ameshauri vituo vya kutolea huduma – hospitali, zahanati na vituo vya afya – vinavyomilikiwa na Serikali vibinafsishwe kama ilivyo Abu Dhabi na Korea Kusini.

Ameshauri madaktari na wauguzi waliopo nchini wajiunge na kubinafsishiwa hospitali badala ya kuwa chini ya Serikali. Shabiby alisema maana ya kutaka laini za simu zitumike kama chanzo cha mapato ni kutokana na anavyoona baada ya Bunge kupitisha muswada wa Bima ya Afya kwa wote na kusainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sheria, kuna hatari bima hiyo ikachangisha wananchi ambao awali walishindwa kuchangia hata Sh10,000 na Sh30,000 za mfuko wa CHF.

Kwa mujibu wa Shabiby, wanufaika wa bima katika Watanzania 100 ni watu wanane ambao wanalipa bima.

“Hasa ukiichukulia hii hatuna chanzo maalumu cha kupata pesa ambazo zinaweza zikasaidia wananchi wa vijijini na watu masikini pamoja na wananchi wa mijini, hata mijini wapo masikini wengi tu, tena hata zaidi ya hao wa vijijini,” amesema na kuongeza:

“Nimeona tulizungumzie bila woga, najua kuna mawazo tutatoa na watu watatukana kwenye mtandao, lakini acha watukane. Hii bima ya afya, ushauri ninaotoa tupende tusipende lazima tuingize chanzo cha muhimu ambacho tutakipata kwa urahisi,” amesema.

Amesema fedha hizo zinaweza kusaidia wananchi hasa wa vijijini ambao kipato ni kidogo kwa kutowawekea ukomo wa matibabu, kwamba wenye fedha ndogo na matibabu yao yanakuwa hayahusu magonjwa mengine makubwa.
Shabiby alishauri baada ya vyanzo hivyo, Serikali ihamie kwenye vyanzo vingine kama mazao kwa kutoza kila kilo moja Sh1 au Sh2.

“Kama mtu hana laini ya simu ina maana huyo masikini wa kutupwa, huyo hafai hata kuchukuliwa Sh200, atatibiwa kutokana na mifuko,” amesema.

“Sasa hiki kinachokuja, najua wengi mtanishangaa lakini ndio ukweli. Hizi hospitali, zahanati na vituo vya afya vijijini vifikie hatua ya kubinafsishwa. Huo ndiyo ukweli, tuige habari ya Korea Kusini, tusiwe wavivu, nendeni mkaangalie Korea Kusini wanafanya nini Abu Dhabi wanafanya nini,” amesema.

“Korea Kusini hakuna hospitali ya kijijini ambayo ni ya Serikali, hakuna kituo cha afya ambacho ni cha Serikali, zahanati zote zimeingizwa kwenye mfumo mmoja, vituo vya afya vyote vimo kwenye mfumo mmoja,” alisema.

“Lipo jengo kubwa wamejenga watu wa intaneti wapo hapo, ripoti zote zinakwenda kule mtu mwenye zahanati akitaka kulipwa na bima, wale lazima wanakague ile zahanati ilimtibu nini X hapa, kwamba nilimpiga x-ray, lakini nikaona nimtibu malaria nikampa Kwinini (Quinine), wale hawatalipa gharama za x-ray kwa sababu ni utapeli na watalipa gharama za matibabu ya malaria pekee,” alisema.

Alishauri Serikali iwe na mfumo wa aina hiyo utakaobaini wenye vitendo vya utapeli kwenye hospitali na zahanati. Shabiby alisema hospitali zinazopaswa kubaki chini ya Serikali ni zile za rufaa kama Hosptali ya Taifa ya Muhimbili.

Alisema utaratibu huo pia utaondoa tabia ya baadhi ya madaktari wa hospitali za Serikali na ambao wanafanya kwenye hospitali binafsi kuwa madalali wa kupeleka wagonjwa kwenye hospitali binafsi kwa kuziponda za Serikali kwamba hazina vifaa vya kutosha.

Mipango iliyopo ya Serikali ni kuwezesha huduma za bima kwa wote kwa mapato yatokanayo na ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vyenye kaboni, vinywaji vikali, bidhaa za vipodozi, michezo ya kubahatisha, ada ya vyombo vya moto, na mapato yatokanayo na ushuru wa miamala ya kielektroniki kwa kadri itakavyopendekezwa.

View attachment 2954755
Mawazo mazuri lakini maswali ni haya:
1. Wapigaji wameondoka?
2. Mikopo waliyokopeshana na mingine kukopeshwa kwa mashirika ya umma imerejeshwa?

Tatizo la NHIF sio fedha bali usimamizi mbovu kama ilivyo katika mashirika mengi ya umma, wakipewa matrioni usishangae serikali ikaanza kuchota fedha kama ilivyofanya kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Vv
 
Mawazo mazuri lakini maswali ni haya:
1. Wapigaji wameondoka?
2. Mikopo waliyokopeshana na mingine kukopeshwa kwa mashirika ya umma imerejeshwa?

Tatizo la NHIF sio fedha bali usimamizi mbovu kama ilivyo katika mashirika mengi ya umma, wakipewa matrioni usishangae serikali ikaanza kuchota fedha kama ilivyofanya kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.

Vv
Mkuu serikali pia imechota matrilioni pesa kutoka NHIF na bado haijazirejesha
 



MY TAKE:

huyu mbunge kwanza hana njaa! magari yake mpaka nauli Tsh 49,000 kutoka Dar kwenda dodoma yaan kila sku yeye anaingiza mamilioni ya hela

Anachukulia poa kuwakamua maskini ili wasaidie maskini wenzao!

yeye anapata mshahara 17Milioni kwa mwezi - Mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi! halafu wote mkatwe kwenye simu

Namuombea afe mdomo wazi kama vile anafosi kutoa haja kubwa iliyokaza

Hii sio sawa matibabu ni swala la mtu binafsi mfano mpaka sasa nina bima yangu nimaokotoeza nikajiunga na kifurushi halafu unikate tena kwenye line yangu ya cm hiyo haiko sawa
 

Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby ameishauri Serikali kukata Sh2,000 kila mwezi kwenye laini za simu huku wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi wakikatwa Sh10,000 ili fedha hizo ziwe chanzo cha mapato kwa Bima ya Afya kwa wote.​


Amesema kuna wamiliki wa laini za simu milioni 72 nchini ambao makato yao kwa mwaka yataingiza Sh1.72 trilioni na zikijumlishwa za Sh10,000 kwa mwezi za wabunge, wafanyabiashara na wafanyakazi, Serikali itapata kwa mwaka takribani Sh2 trilioni.

Shabiby amesema hayo leo wakati akichangia mapendekezo ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Pia, ameshauri vituo vya kutolea huduma – hospitali, zahanati na vituo vya afya – vinavyomilikiwa na Serikali vibinafsishwe kama ilivyo Abu Dhabi na Korea Kusini.

Ameshauri madaktari na wauguzi waliopo nchini wajiunge na kubinafsishiwa hospitali badala ya kuwa chini ya Serikali. Shabiby alisema maana ya kutaka laini za simu zitumike kama chanzo cha mapato ni kutokana na anavyoona baada ya Bunge kupitisha muswada wa Bima ya Afya kwa wote na kusainiwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa sheria, kuna hatari bima hiyo ikachangisha wananchi ambao awali walishindwa kuchangia hata Sh10,000 na Sh30,000 za mfuko wa CHF.

Kwa mujibu wa Shabiby, wanufaika wa bima katika Watanzania 100 ni watu wanane ambao wanalipa bima.

“Hasa ukiichukulia hii hatuna chanzo maalumu cha kupata pesa ambazo zinaweza zikasaidia wananchi wa vijijini na watu masikini pamoja na wananchi wa mijini, hata mijini wapo masikini wengi tu, tena hata zaidi ya hao wa vijijini,” amesema na kuongeza:

“Nimeona tulizungumzie bila woga, najua kuna mawazo tutatoa na watu watatukana kwenye mtandao, lakini acha watukane. Hii bima ya afya, ushauri ninaotoa tupende tusipende lazima tuingize chanzo cha muhimu ambacho tutakipata kwa urahisi,” amesema.

Amesema fedha hizo zinaweza kusaidia wananchi hasa wa vijijini ambao kipato ni kidogo kwa kutowawekea ukomo wa matibabu, kwamba wenye fedha ndogo na matibabu yao yanakuwa hayahusu magonjwa mengine makubwa.
Shabiby alishauri baada ya vyanzo hivyo, Serikali ihamie kwenye vyanzo vingine kama mazao kwa kutoza kila kilo moja Sh1 au Sh2.

“Kama mtu hana laini ya simu ina maana huyo masikini wa kutupwa, huyo hafai hata kuchukuliwa Sh200, atatibiwa kutokana na mifuko,” amesema.

“Sasa hiki kinachokuja, najua wengi mtanishangaa lakini ndio ukweli. Hizi hospitali, zahanati na vituo vya afya vijijini vifikie hatua ya kubinafsishwa. Huo ndiyo ukweli, tuige habari ya Korea Kusini, tusiwe wavivu, nendeni mkaangalie Korea Kusini wanafanya nini Abu Dhabi wanafanya nini,” amesema.

“Korea Kusini hakuna hospitali ya kijijini ambayo ni ya Serikali, hakuna kituo cha afya ambacho ni cha Serikali, zahanati zote zimeingizwa kwenye mfumo mmoja, vituo vya afya vyote vimo kwenye mfumo mmoja,” alisema.

“Lipo jengo kubwa wamejenga watu wa intaneti wapo hapo, ripoti zote zinakwenda kule mtu mwenye zahanati akitaka kulipwa na bima, wale lazima wanakague ile zahanati ilimtibu nini X hapa, kwamba nilimpiga x-ray, lakini nikaona nimtibu malaria nikampa Kwinini (Quinine), wale hawatalipa gharama za x-ray kwa sababu ni utapeli na watalipa gharama za matibabu ya malaria pekee,” alisema.

Alishauri Serikali iwe na mfumo wa aina hiyo utakaobaini wenye vitendo vya utapeli kwenye hospitali na zahanati. Shabiby alisema hospitali zinazopaswa kubaki chini ya Serikali ni zile za rufaa kama Hosptali ya Taifa ya Muhimbili.

Alisema utaratibu huo pia utaondoa tabia ya baadhi ya madaktari wa hospitali za Serikali na ambao wanafanya kwenye hospitali binafsi kuwa madalali wa kupeleka wagonjwa kwenye hospitali binafsi kwa kuziponda za Serikali kwamba hazina vifaa vya kutosha.

Mipango iliyopo ya Serikali ni kuwezesha huduma za bima kwa wote kwa mapato yatokanayo na ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vyenye kaboni, vinywaji vikali, bidhaa za vipodozi, michezo ya kubahatisha, ada ya vyombo vya moto, na mapato yatokanayo na ushuru wa miamala ya kielektroniki kwa kadri itakavyopendekezwa.

View attachment 2954755
Ameongea kitu muhimu tatizo hana akili..

Wazo la kuwa na chanzo cha uhakika ni bora sana ila kwenye simu amewaza bila akili..

Binafsi napendekeza vyanzo vifuatavyo

1. Posho za wabunge na Rais
2. Ununuzi wa magari
3. Wafanyakazi wageni vibali vyao viongezwe tozo kuchangia bima.
4. Vituo vya mafuta viongezewe tozo kwa sababu ya uchafuzi wa mazingira
5. Biashara za pombe na bar na kumbi za starehe ziongezewe tozo ya bima ya afya
6. Leseni za madini na mafuta ziongezewe tozo
7. Cooperate tax ijumuishe tozo ya afya

8. Mtu akilipa Tax yoyote, 1% iongezwe kwa ajili ya bima

9. Wafanyakazi wote wakatwe 0.5% kwa ajili ya bima.

10. Leseni za udafirishaji zote zijumuishe tozo ya 1% kwa ajili ya bima.

Baada ya hapo itungwe sheria kali sana ya kumanage huo mfuko.
 
Huo ufanisi wa kumudu kuendesha huo mfuko kwa ufanisi utakuwepo? Maana CAG anaeleza kwenye ripoti yake kuwa serikali imekopa pesa nyingi kwenye huu mfuko mpaka leo hii haijarejesha sasa tuendelee kuamini serikali haitarudia madudu iliyofanya huko nyuma kuchukua pesa za mfuko? Kingine kwanini matumizi ya serikali yasipunguzwe kama vile posho, mishahara hasa ya wabunge, manunuzi ya magari kila mwaka wa fedha (512 bilioni) kinachopatikana kielekezwe kwenye mfuko
 
Back
Top Bottom