Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mwarabu ni mshenzi sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mwarabu hana akiliWafanyakazi tayari wanalipa Bima ya afya kupitia mishahara Yao . Kwahiyo itapelekea wafanyakazi waache kukatwa bima ya afya kwenye mishahara
Shabiby nimemwelewa na ninamuunga mkono
MY TAKE:
huyu mbunge kwanza hana njaa! magari yake mpaka nauli Tsh 49,000 kutoka Dar kwenda dodoma yaan kila sku yeye anaingiza mamilioni ya hela
Anachukulia poa kuwakamua maskini ili wasaidie maskini wenzao!
yeye anapata mshahara 17Milioni kwa mwezi - Mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi! halafu wote mkatwe kwenye simu
Namuombea afe mdomo wazi kama vile anafosi kutoa haja kubwa iliyokaza
Kujificha kwenye kichaka Cha umaskini wakati unataka Huduma nzuri hospital unategemea utumie pesa za nani?
MY TAKE:
huyu mbunge kwanza hana njaa! magari yake mpaka nauli Tsh 49,000 kutoka Dar kwenda dodoma yaan kila sku yeye anaingiza mamilioni ya hela
Anachukulia poa kuwakamua maskini ili wasaidie maskini wenzao!
yeye anapata mshahara 17Milioni kwa mwezi - Mwalimu anapata laki 3 kwa mwezi! halafu wote mkatwe kwenye simu
Namuombea afe mdomo wazi kama vile anafosi kutoa haja kubwa iliyokaza
Takataka hii, Katiba Mpya na Ufisadi vinahusianaje? Nikutajie Nchi zinazoongoza Kwa Ufisadi na Zina Katiba Mpya? Huu upunguani nani kawakaririsha?Serikali haishindwi kutenga fedha kwa ajili ya bima ya afya kwa wote na pia bima ya afya nao wanakusanya fedha nyingi sana tatizo la nchi hii ufisadi wa kutisha unaofanywa kwenye mfuko wa bima hata wananchi tukitoa 10000 kila mtu bado fedha haitatosha mwarobaini hapa ni KATIBA MPYA kila kitu kitakaa sawa
Ulitaka wachague chama gani kiwaletee neema?Ndiyo mtakoma kuichagua ccm na hapo bado