christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Acha wafu wazike wafu wenzao
Ufisadi bado upo? tuliambiwa Rais wetu mpendwa ameumalizaKanyasu anatetea ufisadi!
Kiuhalisia kwa nini saombe kununua gari ya million 400 wakati akijua wananchi wana mahitaji mengi sana na hiyo pesa ingepelekwa kwenye shida za wananchi kwa kiasi kikubwa ingetatua matatizo mengi ammeshaliwa kichwa nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa hatua aliyoichukuaNimemsikiliza mbunge wa Geita mjini ndugu Costantine Kanyasu kwa kweli anashangaza sana. Nini kimemfanya akurupuke kuanza kutoa maoni kama haya kabla ya uchunguzi?
Nilimsikiliza waziri Jaffo alipopewa kazi yake ya kwanza kuunda tume kuchunguza ubadhilifu halimashauri ya Geita,alisema pesa mil 400 zilizotumika hazikupitishwa na baraza la madiwani.
Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.
Mbali na hayo anasema mkurugenzi aliyesimamishwa ni muadilifu na amekuwa akipambana na ufisadi kwa muda mrefu. Je ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdanganya rais,maana huyu ndie aliyemlipua mkurugenzi kuwa alifanya ubadhirifu wa mil 400.
Waifu mbona uko nje ya mada?Wakina Mdee hao ni wanaccm hawahusiki tena huku Chadema.yap,ila kina mdee na kina mbowe wao hawakulani[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge mwenyewe anajua kusoma vizuri au amesomewa?Nashangaa nimemsikiliza mbunge wa Geita anaongea na media na kudai kuwa amepitia document hapo halmashauri na amebaini kuwa pesa hizo zilipitishwa na baraza la madiwani,pia anasisitiza Gpsa walitumiwa kununua hilo gari la mil 400,kwa hiyo taratibu zote zilifuatwa maana Gpsa ndie wakala wa manunuzi wa serikali.
...........................................hana rafiki wa kudumuCcm hawana shukrani wamewatumia wakurungezi kuhujumu uchaguzi Leo wanaanza kuwafukuza
Hivi Mbunge anaweza kutumbuliwa?
😂😂 mke wangu wa ndoa huyoo!!Waifu mbona uko nje ya mada?Wakina Mdee hao ni wanaccm hawahusiki tena huku Chadema.
mke wangu kina mdee ni wana chadema wenzenu dam!! Msiwakatae tafadhali. Washauri na wenzakoWaifu mbona uko nje ya mada?Wakina Mdee hao ni wanaccm hawahusiki tena huku Chadema.
Jaffo ofisi yake ipo wapi? Alishaondolewa toka ofisi ya WM kitambo sasa.Mkurugenzi hajatendewa haki. Kama kweli wanamaanisha kupambana na uzembe wa kwanza kuondolewa alipaswa kuwa Majaliwa akifuatiwa na Jaffo.
Ofisi zao ndizo zilizobariki manunuzi ya gari hilo.
Hoja ya serikali ni kuwa halmashauri haikupaswa kununua gari la bei hiyo: pm amefafanua kuwa mwongozo haukufuatwa, mbunge anaweza kumtetea mkirugenzi kwakuwa ndiye alikuwa returning officer wa uchaguziJe ina maana Mbunge wa Geita vijijini ni muongo? Anaropoka hovyo na kumdangany