Mbunge wa Geita Vijijini atunukiwa Udaktari wa heshima, sasa kuitwa Dkt. Joseph Kasheku

Mbunge wa Geita Vijijini atunukiwa Udaktari wa heshima, sasa kuitwa Dkt. Joseph Kasheku

Ni sawa tu,kwani huyo Musukuma ana tofauti gani na Dr. Bashiru,Prof. Kabudi,Dr. Bana.

Wote akili zao zinafanana kwa 100%.
Musukuma anawazidi kwa mbali madokta na maprofesa kwa mengi km uthubutu,pesa, na michango yake ya maana bungeni.
 
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.” https://t.co/Xq4n4BrSAl
View attachment 2033988
Hawezi kutumia hiyo title mpaka TCU wajiridhishe kama hicho chuo kinatambulika na kimesajiliwa na mamlaka husika.
 
Hawakufanya fair,, iweje apewe msukuma alafu anyimwe yule wa njombe nafikri, wakuitwa somebody sanga a.k.a jah people, sanga anaupiga mwingi kwenye kazi za jamii na kielimu wako sawa na msukuma, au kapenyeza rupia 🤔
Udaktari wa mchongo!
 
Hongera Sana upeo wako hata baadhi graduates unawapiga bao Sana wewe Sasa hivi ni Dr Joseph Kasheku Msukuma full stop wacha wanene watagonjeka tyuu
 
ANAANDIKA BABA ASKOFU BAGONZA

😂😂😂😂😂😂
Sasa nimejua. Siku za karibuni Kuna mtu aliniita kutokea Arusha akaniambia jina langu limependekezwa ili nipewe udaktari wa heshima kwa sababu (akataja nyingi). Kisha akasema zinatakiwa dola 500 haraka sana na deadline ni siku ya pili yake. Akataja chuo hikihiki.

Nikamwambia hiyo hela Sina. Akasema basi leta dola 210 kwa punguzo maalum.

Nikamwambia kwa Sasa Kuna vyuo vikuu 3 humu duniani vinaniomba nipokee udaktari wa heshima kutoka kwao lakini itaambatana na cheki ya dola elfu kumi kwangu. Nikamwambia bado nasita kwa sababu walizonitajia kuwa ninazo bado nina mashaka nazo kama ninazo kweli. Tukaachana hivo.

Kumbe wakapatikana kina Msukuma?!
Huyu Askofu ana wivu sana anawaonea wivu akina msukuma kupata udaktari.

Anyway nipo huku Usukumani Sungusila kwao na Msukuma tunajiandaa na sherehe ya kugraduate kwa Daktari wetu.
Hakika tutakula, kunywa na kucheza.
 
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.”

View attachment 2033988
TCU njooni huku kuna mtuhumiwa wenu.
 
Vyuo vikuu vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Honorary Doctorate kweli??
Mkuu umeonyesha uhalisia wa utanzania wako.
Daima watanzania ni watu tusiyopenda mafanikio ya mwenzetu. Ndiyo katunikiwa sasa tena na watu mnaowaabudu. Jinyonge tu mkuu.
 
ANAANDIKA BABA ASKOFU BAGONZA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nimejua. Siku za karibuni Kuna mtu aliniita kutokea Arusha akaniambia jina langu limependekezwa ili nipewe udaktari wa heshima kwa sababu (akataja nyingi). Kisha akasema zinatakiwa dola 500 haraka sana na deadline ni siku ya pili yake. Akataja chuo hikihiki.

Nikamwambia hiyo hela Sina. Akasema basi leta dola 210 kwa punguzo maalum.

Nikamwambia kwa Sasa Kuna vyuo vikuu 3 humu duniani vinaniomba nipokee udaktari wa heshima kutoka kwao lakini itaambatana na cheki ya dola elfu kumi kwangu. Nikamwambia bado nasita kwa sababu walizonitajia kuwa ninazo bado nina mashaka nazo kama ninazo kweli. Tukaachana hivo.

Kumbe wakapatikana kina Msukuma?!
Kumbe ndiyo maana hakanenepi haka!!
 
PhD za kujifukiza hizo zinatolewa kimichongo....elimu inabakwa mchana kweupeeee
FB_IMG_16387750774844166.jpg
 
tena na watu mnaowaabudu
Nani anawaabudu UDOM chuo kikuu kisicho na sifa bali kinachoendeshwa kisiasa.

Au unadhani hatulifahamu hilo? Unadanganyika kwamba katunukiwa na chuo Cha USA? Wamepokea mapendekezo na assessment za kijinga toka UDOM.

Kalaga baho
 
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.”

View attachment 2033988
Si ni huyu bwana aliyekuwa anadharau wasomi bungeni.... Kumbe anaupenda usomi ingawa ulimshinda....!!
 
PhD za kujifukiza hizo zinatolewa kimichongo....elimu inabakwa mchana kweupeeee
Hao jamaa wa chuo cha USA wamepotoshwa na maprofesa feki wa UDOM ambao ndiyo wametoa mapendekezo feki wakati wakijibu madokezo yaliyoletwa na hao USA.

Ujinga kabisa
 
Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku Msukuma leo jumapili jijini Dodoma, anatunukiwa Udaktari wa Heshima katika siasa na uongozi kutoka Chuo cha Academy of Universal Global Peace cha Marekani. “hiki ni chuo cha kimataifa na sasa naitwa Dkt. Msukuma.”

View attachment 2033988
Aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Hao jamaa wa chuo cha USA wamepotoshwa na maprofesa feki wa UDOM ambao ndiyo wametoa mapendekezo feki wakati wakijibu madokezo yaliyoletwa na hao USA.

Ujinga kabisa
Kumbe UDOM wanahusika husika!
 
Hiki Chuo kina tuhuma za udanganyifu katika utoaji wa vyeti vyake. Zipo makala zinazotilia shaka PhD zake na sina hakika kama Chuo hicho kimeweza kujisafisha. Ukiingia google utapata details za kutosha.
 
Back
Top Bottom