Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,379
Musukuma anawazidi kwa mbali madokta na maprofesa kwa mengi km uthubutu,pesa, na michango yake ya maana bungeni.Ni sawa tu,kwani huyo Musukuma ana tofauti gani na Dr. Bashiru,Prof. Kabudi,Dr. Bana.
Wote akili zao zinafanana kwa 100%.