Mbunge wa Geita Vijijini atunukiwa Udaktari wa heshima, sasa kuitwa Dkt. Joseph Kasheku

Ni sawa tu,kwani huyo Musukuma ana tofauti gani na Dr. Bashiru,Prof. Kabudi,Dr. Bana.

Wote akili zao zinafanana kwa 100%.
Musukuma anawazidi kwa mbali madokta na maprofesa kwa mengi km uthubutu,pesa, na michango yake ya maana bungeni.
 
Hawezi kutumia hiyo title mpaka TCU wajiridhishe kama hicho chuo kinatambulika na kimesajiliwa na mamlaka husika.
 
Hawakufanya fair,, iweje apewe msukuma alafu anyimwe yule wa njombe nafikri, wakuitwa somebody sanga a.k.a jah people, sanga anaupiga mwingi kwenye kazi za jamii na kielimu wako sawa na msukuma, au kapenyeza rupia 🤔
Udaktari wa mchongo!
 
Hongera Sana upeo wako hata baadhi graduates unawapiga bao Sana wewe Sasa hivi ni Dr Joseph Kasheku Msukuma full stop wacha wanene watagonjeka tyuu
 
Huyu Askofu ana wivu sana anawaonea wivu akina msukuma kupata udaktari.

Anyway nipo huku Usukumani Sungusila kwao na Msukuma tunajiandaa na sherehe ya kugraduate kwa Daktari wetu.
Hakika tutakula, kunywa na kucheza.
 
TCU njooni huku kuna mtuhumiwa wenu.
 
Vyuo vikuu vinafanya ujinga ktk elimu. Msukuma ni wa kumpa Honorary Doctorate kweli??
Mkuu umeonyesha uhalisia wa utanzania wako.
Daima watanzania ni watu tusiyopenda mafanikio ya mwenzetu. Ndiyo katunikiwa sasa tena na watu mnaowaabudu. Jinyonge tu mkuu.
 
Kumbe ndiyo maana hakanenepi haka!!
 
tena na watu mnaowaabudu
Nani anawaabudu UDOM chuo kikuu kisicho na sifa bali kinachoendeshwa kisiasa.

Au unadhani hatulifahamu hilo? Unadanganyika kwamba katunukiwa na chuo Cha USA? Wamepokea mapendekezo na assessment za kijinga toka UDOM.

Kalaga baho
 
Si ni huyu bwana aliyekuwa anadharau wasomi bungeni.... Kumbe anaupenda usomi ingawa ulimshinda....!!
 
PhD za kujifukiza hizo zinatolewa kimichongo....elimu inabakwa mchana kweupeeee
Hao jamaa wa chuo cha USA wamepotoshwa na maprofesa feki wa UDOM ambao ndiyo wametoa mapendekezo feki wakati wakijibu madokezo yaliyoletwa na hao USA.

Ujinga kabisa
 
Aseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Hao jamaa wa chuo cha USA wamepotoshwa na maprofesa feki wa UDOM ambao ndiyo wametoa mapendekezo feki wakati wakijibu madokezo yaliyoletwa na hao USA.

Ujinga kabisa
Kumbe UDOM wanahusika husika!
 
Hiki Chuo kina tuhuma za udanganyifu katika utoaji wa vyeti vyake. Zipo makala zinazotilia shaka PhD zake na sina hakika kama Chuo hicho kimeweza kujisafisha. Ukiingia google utapata details za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…