Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro

Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro

Bila usaliti jamaa asingekuwa DC. Mwenyezi Mungu aliruhusu mfumo wa ku msalitiana uwepo hapa Duniani na ni kweli unapata ulichokikusudia maana ni shetani (Roho ya tamaa) ndiye anayehusika - ila tatizo matokeo yake huwa haudumu milele na unaishi bila amani rohoni mwako.
 
Hawa wakiwa upinzani wanajifanya wazalendo wakipata nafasi nao wanakuwa ndio wale wale.

Nchi hii waanzilishi kuna sehemu wamekosea kila mtu anaingia kwenye siasa ili apate kupiga hela.
Kosa ni liko kwa wana wa nchi. Tumelala fofofo kiasi ambacho hata kama mtu ana nia ya kututetea anakatishwa tamaa njiani. Trust me. Ukiamua kumtetea mtanzania kukata tamaa njiani ni rahisi mno mno. Mwananchi atafanyiwa unyama mbaya sana na vyombo vya dola au kiongozi halafu atamwendea mtetea haki yeyote na kusema nimefanyiwa hivi na vile, naomba unisaidie kupiga kelele lakini usitaje kama mimi ndiyo nimelalamika, zungumza kijumla jumla tu. Sijui una umri gani lakini mimi enzi za Mtikila kuichachafya nilikuwa nimeshapata akili. Lakini mpaka anafariki alikuwa tayari ameshakata tamaa na kupungza kabila ule moto na wakati mnwingine kuwa upande wa serikali.
 
Nilikuwepo
Kosa ni liko kwa wana wa nchi. Tumelala fofofo kiasi ambacho hata kama mtu ana nia ya kututetea anakatishwa tamaa njiani. Trust me. Ukiamua kumtetea mtanzania kukata tamaa njiani ni rahisi mno mno. Mwananchi atafanyiwa unyama mbaya sana na vyombo vya dola au kiongozi halafu atamwendea mtetea haki yeyote na kusema nimefanyiwa hivi na vile, naomba unisaidie kupiga kelele lakini usitaje kama mimi ndiyo nimelalamika, zungumza kijumla jumla tu. Sijui una umri gani lakini mimi enzi za Mtikila kuichachafya nilikuwa nimeshapata akili. Lakini mpaka anafariki alikuwa tayari ameshakata tamaa na kupungza kabila ule moto na wakati mnwingine kuwa upande wa serikali.
Nilikuwepo enzi za mchungaji Christopher mtikila.

Ni sahihi watanzania tumelala mnoo.
Hatujui kuwa Tanzania ya kesho ipo mikononi kwa mtanzania wa leo
 
Hawa wakiwa upinzani wanajifanya wazalendo wakipata nafasi nao wanakuwa ndio wale wale.

Nchi hii waanzilishi kuna sehemu wamekosea kila mtu anaingia kwenye siasa ili apate kupiga hela.
Kimsingi mtu hawezi kujiita mzalendo au mwadilifu wakati uzalendo au uadilifu wake haujawa tested.tukikuweka kwenye mfereji wa pesa ndo tutajua wewe ni nani.Ndo maana watu kama Mwal Nyerere au Sokoine wataendelea kuheshimiwa.
 
Back
Top Bottom