MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Wanachokitafuta CCM watakuja kukipata, tena kwa kiasi wasichotegemea. Hivi hawasomi history? Wapi duniani utawala wa mabavu ulidumu milele? Siku moto ukiwaka hapa, watakimbia nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabla hajaunga mkono juhudiYa lini hii?
Kipindi bado ana akili timamuYa lini hii?
Unafikiri ni kwa nini inakuwa hivyo. Hata wewe leo hii tukikupa uDC utafanya tu yale yale. Kwa nini? 🤔Hawa wakiwa upinzani wanajifanya wazalendo wakipata nafasi nao wanakuwa ndio wale wale.
Nchi hii waanzilishi kuna sehemu wamekosea kila mtu anaingia kwenye siasa ili apate kupiga hela.
Hawa wakiwa upinzani wanajifanya wazalendo wakipata nafasi nao wanakuwa ndio wale wale.
Nchi hii waanzilishi kuna sehemu wamekosea kila mtu anaingia kwenye siasa ili apate kupiga hela.
Ndio maana nikasema kama taifa waanzilishi kuna sehemu walikosea, kuiba imekuwa fashion, kila mtu mwizi wajuu wezi na hawawajibishwi unadhani wa chini yake atafanya nini mzee, we ukisikia waziri kapiga bilioni kadhaa, we DC utaacha kupiga hivi vimilioni 100+?Unafikiri ni kwa nini inakuwa hivyo. Hata wewe leo hii tukikupa uDC utafanya tu yale yale. Kwa nini? 🤔
Swali lako nimejibu kwa Shimba ya Buyenze post namba #12Na hiyo ndiyo maana ya siasa, vinginevyo nani ana shida nayo! Hata wewe ukiweka namba yako ya simu hapa tutakupa ukuu ili tuone kama una ubavu wa kuukataa wakati upo na njaa kali!!!!
Halafu wenzake wanapofanya yaleyale aliyofanya yeye anawaona wahaini
Chuki ni kidonda, pia punguza wivu dadaKwenye utafutaji
Lijua ni Mhe DC now ila Lema ni mzururaji asie na makazi
Mtumie hiyo picha kumbukumbu yakeKwenye utafutaji
Lijua ni Mhe DC now ila Lema ni mzururaji asie na makazi
Tumbo njaa kali 'ebo familia inanitegemea'Kwa nini?