Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kweli Waitara anafanya mini Kyle Kigoma!......upuuzi mtupu.Kama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..
Lkn waitara kuwa kigoma kwa the same job sio kosa sio?Kama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..
Lkn waitara kuwa kigoma kwa the same job sio kosa sio?Kama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..
Sikujua kama siku hizi bunge limekuwa kikao cha Dodoma kinachosimamiwa na serikal. It's a big shameKuna Bunge linalosimamia serikali nchi hii? Au unaongelea hiki "kikao" cha Dodoma kinachosimamiwa na serikali?
They don't have that power, tutaumia tu lkn ipo siku ya Zimbabwe yatahamia TanzaniaTangazeni tu kuwa Tanzania ni nchi ya mfumo wa chama kimoja.
We wafurahia hali hii?uzuri wa bavicha ni wazuri sana kutoa povu mitandaoni,wangelita hili povu mitaani ningeamini wapo serious
Double standardsInahusu wabunge wa upinzani tu ndiyo maana Waitara yuko Kigoma anapiga mzigo kama kawaida kupitia wenyenchi.
ulitaka ninune kisa bavicha hawatoi povu hadharani?We wafurahia hali hii?
Unaamini hili jukumu ni la vyama vya siasa tu?kweli tz imeugua inahitaji tiba nzitouzuri wa bavicha ni wazuri sana kutoa povu mitandaoni,wangelita hili povu mitaani ningeamini wapo serious
kumbe vyama vya siasa kazi yake nini kula ruzuku tu?Unaamini hili jukumu ni la vyama vya siasa tu?kweli tz imeugua inahitaji tiba nzito
Dah.Ishu isn't decree ishu ni wabunge wenyewe ambao hata huko bungen huwa hawalaani wala kukemea haya matamko wao.wakiwa kama watu wanaopaswa kusimamia serikal
Nyumbani Na chumbani ruksaHivi kumbe hata kualikana wabunge ni uvunjaji wa Sheria?
Utakuja nuna tu, bado kitambo kidogo tu. Amen.ulitaka ninune kisa bavicha hawatoi povu hadharani?
Tokea uniombee kununa huu mwaka zaidi wa kumi ndio.kwanza unanuna wewe kila sikuUtakuja nuna tu, bado kitambo kidogo tu. Amen.
Na hii ndio JF yetu ya sasa...the home of great thinkersKama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..