Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro

Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro

Dah.

Umesema kitu cha msingi sana.

Ukimchekea dikteta lazima akumalize.

Hivi wapinzani wote wale wamekosa mbunge mmoja wa kujilipua bungeni kumoaka Magufuli udikteta wake?

Ule mtindo wa kuondoa shilingi siku hizi haupo?

Wapinzani wameshindwa ku support special motion ya kupinga udikteta huu?
Ule mtindo wa kuondoa shilingi uliondoka na samwel sitta.
Kwasasa hivi tuna bunge la woga, wabunge waoga, rais naye ni socially insecure. Hivyo tupo tuu na wananchi ndio kuzidi kwa woga.
Tumezidi kurudi nyuma kifikra, kihekima, na hata kihoja. Tumebaki kuwa wapiga stori za vijiwen
 

Matokeo chanya.

Hiyo ndio Tanzania ya viwanda!
 
Ishu isn't decree ishu ni wabunge wenyewe ambao hata huko bungen huwa hawalaani wala kukemea haya matamko wao.wakiwa kama watu wanaopaswa kusimamia serikal
Watakemea mbele ya Ndugai si watatolewa nje na kufungiwa mwaka mzima. Acha tu kuna siku inakuja, hakutasalia jiwe juu nchi, asema bwana wa majeshi.
 
Ule mtindo wa kuondoa shilingi uliondoka na samwel sitta.
Kwasasa hivi tuna bunge la woga, wabunge waoga, rais naye ni socially insecure. Hivyo tupo tuu na wananchi ndio kuzidi kwa woga.
Tumezidi kurudi nyuma kifikra, kihekima, na hata kihoja. Tumebaki kuwa wapiga stori za vijiwen
The worst thing ni kwamba Magufuli hakuhitaji kuwa hivi.

Alianza na popularity kubwa, wapinzani hawakuwa na nguvu hivyo, na angekuwa na ngozi ngumu ya kutolainika kwa mishale butu anayopigwa, angeweza ku focus kwenye ajenda yake ya uchumi bila kuwa distracted na habari za kubana uhuru, angeepuka lawama nyingi sana na Watanzania wanavyopenda marais wao, hususan rais anayeweza kuinesha vitu, nimejenga barabara, nimejenga madaraja, ninefanya hiki na kile. Magufuli angekuwa even more popular.

Sasa hivi mwenyewe anajipiga risasi mguuni kwa kuogopa kivuli chake.
 
The worst thing ninkwamba Magufuli hakuhitajibkuwa hivi.

Alianza na popularity kubwa, wapinzani hawakuwa na nguvu hivyo, na angekuwa na ngozi ngumu ya kutolainika kwa mishale butu anayopigwa, angeweza ku ficus kwenye ajenda yake ya uchumi bila kuwa distracted na habari za kubana uhuru, angeepukablawama nyingi sana na Watanzania wanavyopenda marais wao, hususan rais anayeweza kuinesha vitu, nimejenga barabara, nimejenga madaraja, ninefanya hiki na kile. Magufuli angekuwa even more popular.

Sasa hivi mwenyewe anajipiga risasi mguuni kwa kuogopa kivuli chake.
Ukisha kuwa mtu unayeona Kila mtu ni threat kwako, nakuambia hutakaa ufanye jambo bila kujidefend kwanza ww. This is what us killing him. Ninaamin anaongoza kwa tabu sana kuliko waliopita.

Ipo siku nilikaa nikawaza hivi angekuwa yy ndio kapigania uhuru, sijui tungekuwa wapi Leo.
 
Ukisha kuwa mtu unayeona Kila mtu ni threat kwako, nakuambia hutakaa ufanye jambo bila kujidefend kwanza ww. This is what us killing him. Ninaamin anaongoza kwa tabu sana kuliko waliopita.

Ipo siku nilikaa nikawaza hivi angekuwa yy ndio kapigania uhuru, sijui tungekuwa wapi Leo.
Angesema ana "degree ya violence" kama mwenzake Mugabe.

Magufuli sijui ni ushamba au nini. Kikwete na matatizo yake yote alielewa umuhimu wa kuachia uhuru.

Kuna wakati wakurugenzi wa JF walishikwa (hawa polisi wetu nao mara nyingine huwa wanafanya mambo kwa kujipendekeza, hakukuwa na "amri kutoka juu") . Basi taarifa zilipomfikia Kikwete, na watu kama "The Committee To Protect Journalists" walivyoanza kukipaka kimataifa huko, Kikwete akawaita wale polisi, akawauliza, hao vijana wamefanya nini? Si wanatumia haki zao za kikatiba tu? Waachieni. Wakaachiwa. That was a smart move.

Leo rais mwenyewe tunaambiwa ana order watu washikwe, wengine wakipewa dhamana (haki ya msingi) anahoji.

Anajitengenezea jina baya kirahisi sana kiasi hata mazuri yake watu wanayahoji.

Hawa wabunge wana parliamentary inmunity. Msekwa kaandika kijitabu kimeelezea habari hizi. Nashangaa serikali inatumia mabavu wakati wabunge wamepewa uhuru wa kutobugudhuwa wakiwa wanafanya shughuli zao za kibunge.
 
Kama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..
Unajitoa akili mwenyewe. Unajipendekeza kupita maelezo. Uteuzi unakaribia ukingoni. Umekosa vyote. Akili kuduhu. Uteuzi utausikia tu.
 
Mbona ccm wamejazana buyungu kwann wasikamatwe akina nape, bashe, nk dhuluma Mungu hapendi na wote wafanyao wataangukia puwaaaa
 
View attachment 826847
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro Kwa kosa la Kukiuka masharti ya kibali cha mkutano na hasa kuwaalika wabunge wengine kuhudhuria Katika mkutano huo siku alipotoka tu jela.
Sasa alitoaje mwaliko akiwa jela ili hao wabunge wengine wawepo siku aliyoachiliwa?
 
Back
Top Bottom