Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Siasa za TZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole na hongera mzazi...jiwe linatuvuruga utasema tunakula kwake...nyambafuDogo nina mshono mbichi hata nyuzi sijatoa tumboni. Utanifumua kwa kicheko
Safi sana, tena asote wikiendi yote.View attachment 826847
Mbunge wa Jimbo la Kilombero Mh Peter Lijualikali anashikiliwa Katika kituo Kikuu cha polisi mkoani Morogoro Kwa kosa la Kukiuka masharti ya kibali cha mkutano na hasa kuwaalika wabunge wengine kuhudhuria Katika mkutano huo siku alipotoka tu jela.
Waziri wa Elimu, Prof Joyce Ndalichako amewataka vijana kuacha tabia ya kuikosoa na kuishambulia Serikali badala yake walipende Taifa ili kuleta maendeleo, kwani sasa Taifa linapitia wakati mgumu unaosababishwa na ukosefu wa maadili na uzalendo kwa vijana.Kuwaalika Wabunge wengine kwenye mkutano inawezaje kuwa kosa? Hizi decree za kipuuzi hazina nafasi katika dunia ya leo.
unashabikia kitu uso kijua,hata kama ni njaa kuna naman nyingine ya kuishi.Kama si kosa nenda kamuulize lijuakali ana hali gani uko selo..