Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Mshaambiwa kuna upepo wa tatu... hivyo kila mtu apambane kivyake... kazi iendelee.CoVID19 ipo na inaendelea kudondosha legends silently.
Harafu watu wameanza kupuuzia na unawasikia wakisema “sasa hivi imepungua/haiui sana”