Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
Mshaambiwa kuna upepo wa tatu... hivyo kila mtu apambane kivyake... kazi iendelee.CoVID19 ipo na inaendelea kudondosha legends silently.
Harafu watu wameanza kupuuzia na unawasikia wakisema “sasa hivi imepungua/haiui sana”
Kuna Mtu alivyo Mnafiki ( Ndumilakuwili ) na sasa hana tena Ubunge aliouzoea kwa muda mrefu nina uhakika safari hii atagombea hilo Jimbo kwa Tiketi ya Chama chake anachokimiliki Mwenyewe japo Makazi yake ya Kutukuka ni Mkoani Kigoma kwa Watani zangu Waha.Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia.
Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
View attachment 1791408
DO you mean COVID 19 inashambulia walioshinda uchaguzi zamani?
Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia.
Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
View attachment 1791408
CoVID19 ipo na inaendelea kudondosha legends silently.
Harafu watu wameanza kupuuzia na unawasikia wakisema “sasa hivi imepungua/haiui sana”
innalillah...Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia.
Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
View attachment 1791420
Season 3 imeshaingia ndugu zangu tukae mkao wa kula sasa
Kuna dalili zote Second Wave imeshaanza, uzuri Rais Samia kasema tupambane na huu Ugonjwa Kitaalamu na sio Kisiasa.
Changamoto zilezile!?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]apumzike kwa amaniMbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia.
Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
View attachment 1791420
Hili bunge la awamu hii mbona wazee wanadondoka sana!!
Innaa lillah wainnaa ilayh Raj uun.Kuna Mtu alivyo Mnafiki ( Ndumilakuwili ) na sasa hana tena Ubunge aliouzoea kwa muda mrefu nina uhakika safari hii atagombea hilo Jimbo kwa Tiketi ya Chama chake anachokimiliki Mwenyewe japo Makazi yake ya Kutukuka ni Mkoani Kigoma kwa Watani zangu Waha.
Innaa lillah wainnaa ilayh Raj uun.Mbunge wa Jimbo la Konde Ndugu, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia.
Umauti umemfika katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili akipatiwa matibabu Alfajiri ya leo.
Khatib amekuwa Mbunge wa tatu kufariki tangu Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. January 21 2021 Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla alifariki dunia na Feb 12, 2021 Mbunge wa Jimbo la Muhambwe, Mkoa wa Kigoma Atashasta Nditiye alifariki Dunia baada ya kupata ajali ya gari
View attachment 1791420
Kwani jimbo alilotoka lilifanya by -electionDuh! Huyu kashinda uchaguzi wiki chache tu zilizopita. I hope it is not COVID-19.
Innaa lillah wainnaa ilayh Raj uun.Magonjwa ya moyo.
Kisukari.
UKIMWI