TANZIA Mbunge wa Jimbo la Konde Zanzibar, Khatib Haji afariki Dunia

Pole kwa familia yake na wa-Zanzibar kwa ujumla.

Zitto amekuwa mnafki na amekuwa kama tissue ya CCM, ni ngumu kumpa pole zitto, labda watu wengine. Ndiye anachangia kuua upinzani Tanzania na kuendelea kuongozwa kimabavu.
Zitto kachangiaje kujifia kwa chadema?
 
Poleni Wafiwa Kazi ya Mungu haina Makosa
 
Mbona Gwajima alijiapiza kuwa kwa kipindi yeye yupo bungeni hakuna Mbunge atakufa kwa Corona? Ndiyo maana nasema huyu Chidi ni mwongo na asiaminiwe kabisa.
 
Hakika sisi ni wa ALLAH na kwake tutarejea, Allah ampe kauli thabit
 
Mtu asie hoja hukimbilia majibu kama haya
unaulizaje swali la kitoto kuhusika kwa Zitto kuifikisha CHADEMA ilipo? na si CHADEMA peke yake bali upinzani kwa ujumla?
Yale mambo ya ujerumani kipindi cha 2013, mambo ya ku-collude na etc ulafu unauliza maswali ya chekechea hapa huo muda si ungeenda hapo kwenu ushetu ukalime mtama
 
Ndio maana nikakwambia weka hoja zako hapa tuone jinsi anavyochangia kuififisha chadema.
 
Kwani ACT wasaliti waliambulia jimbo lolote kule Zenj baada ya ile dhuluma iliyohusika ikiwemo mauaji?
Kwani wewe uliposema kashinda juzi juzi ulimaanisha alishinda kwa chama gan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…