Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Unaona baadhi ya wabunge wasivyojitambua!
 
CHADEMA: Ole wenu mkiipokea Mizoga ya CCM!
 
Kama hawa bora wandetu maana hata bungeni sikuwai kumsikia
Siku wakihama hawa
(1) mboe
(2)Lisu
(3) heche
(4) msigwa
(5)Sugu
(6)selasini
(7)Lema
(8) mdee
(9)Silinde
(10)Nasari
Kati yahawa akihama mmoja wao hata mm nitahama .
Lema ameshaomba...jiamini ww mwenyewe..acha kuamini watu..na unashangaza kweli..hadi nasari unamuamini?
 
Wengi naona wana vinasaba vya CCM
 
Mmaasai ana msimamo mwarusha usimwamini hata kidogo ni mnafiki balaa nimekaa nao sana.
Waongo na wambea wamasai! Hujaona wanavyoiba na kushirikiana na majambazi. Umesahau hata wasomali walio kuwa wanasumbua ngorongoro walikuwa wanafichwa na wamasai? Umesahau hata mitaani wauzaji wa dawa!
 

Umetisha mkuu! Nimeipenda hii. Kwa bahati mbaya tuna wabunge mbumbumbu mno, sidhani kama hao wanaohama wamewahi kufikiri kama ulivyofikiri wewe namna hii!!!
 

Ifike mahali hawa wabunge wawaheshimu wananchi waliowapa dhamana! Huku ni kutudharauna kuona hatuna la kuwafanya na hawaoni uchungu wa kodi zetu kurudia uchaguzi. Ushauri wangu, ni vema wananchi tuliowapa dhamana hawa wasaliti tukaamua kuwashughulikia na hata kuwafanya vilema! Tukiwafanya wawili au watatu na wakajua ni kwa nini wamefanyiwa huu upumbavu utakwisha, otherwise watatuchezea sana. Wapumbavu wakubwa.
 
Umetisha mkuu! Nimeipenda hii. Kwa bahati mbaya tuna wabunge mbumbumbu mno, sidhani kama hao wanaohama wamewahi kufikiri kama ulivyofikiri wewe namna hii!!!
Mkuu kuna la zaidi ambalo hatulioni kwa macho ya kawaida na wao hawataki kutuambia ukweli mkuu. Kwa kuwa hawana sababu za msingi ndio wanaishia kutoa kauli ambazo zinajicontradict.Ukweli wanaujua mkuu ila iko siku tutaambiwa.Utawala huu mambo yao ni makubwa.
 
Poleni watanzania,Poleni watumishi fedha zinatumika ktk kuwanunua hawa matapeli wa kisiasa badala ya kujali maslahi yenu.Fanyeni hujuma ktk kila kitu na kila idara dhidi ya serikali hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…