Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakolomije watambue CDM ilikuwa na Wabunge Wanne tu kina Zitto na Slaa etc enzi hizo na ikavuma,kwa sasa wapo wengi,wameondoka hao wa3 bado wapo Majembe ya kutosha yasiyoyumba,ni kipindi cha mpito tu hiki,wachumia tumbo wanajichuja wenyewe vipande 250m vya fedha unauza utu.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.
Kama hakuna unaeshindana nae huko huwezi kusema ni kushambulia. Kama wanataka kushambulia wawaache na CHADEMA nao wafanye siasa!Sasa wana shambulia ngome ya lowasa huku wana endelea na mashambulizi kwenye ngome ya mbowe pale Hai
NkurunzinzaHahahahahaha jiwe na polepole mnaweza chezea pesa ya wanamchi kulazimishwa kipendwa wakati huohuo mnazuia uchaguzi usiwe huru
Siasa bana..
Mtu anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingne wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingne wanaonekana wasaliti vilevile
Sijui nani katuloga kwa kweli. Huu ni aina mpya ya ufisadi au upotezaji pesa za wananchi.Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.
Aende tuuu naye huyo sioni la maana maana alihamia huko kwa mzimuuuuTaarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.
Usajir wa magufuli kaona ccm kuna vichaa anatumia pesa nyingi kusajir mjiangalie mnamaoungufu gani anakuja kuwa mkuu wa mkoa huyo wakat nyie mpo kitambo hata kutandua bendera za ccm kwenye nguzo hampati.Chadrama kwishney kabisa walahi
Kuna haja ya wanazuoni wa kimataifa si hawa wa bongo kuja kuitafiti aina mpya ya siasa tunayoiendesha hapa tz ni kwa faida ya vizazi vijavyo..lakini tanzania ni ya pili kwa vivutio vya utalii duniani si mbaya kuongeza utalii wa siasa piaSasa wana shambulia ngome ya lowasa huku wana endelea na mashambulizi kwenye ngome ya mbowe pale Hai