mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Amini 1.5 haijaisha. Itaondoka na wengiSitaki kuamini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini 1.5 haijaisha. Itaondoka na wengiSitaki kuamini...
Mbowe mwenyewe kwa vyo vyote vile hatapita kwenye jimbo la Hai. Atafungwa tu hata kwa goli la mkono!Kwahiyo anabaki Mbowe tu?
Kwahiyo waitara ndio alikuwa anakatwa peke yake? Waitara alikuwa kirusi since wayback(M2) kabla hata hajakuwa Mbunge.Kamuulize Waitara atakuambia ukweli.
Say no more...mkuuSiasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile
Basi kamuulize Lowassa au Sumayi kama humwaamini Waitara au wale wabunge wengine waliohama hicho chama cha saccos.Kwahiyo waitara ndio alikuwa anakatwa peke yake? Waitara alikuwa kirusi since wayback(M2) kabla hata hajakuwa Mbunge.
Wabunge wanaohama kwenda CCM ni wachumia tumbo kwa sababu moja tu,wanaenda kugombea tena nafasi ile aliyoiacha,nitawaamini endapo wakiondoka upinzani na kutogombea tena,muangalie nyalando kaacha katulia kimya anafanya mambo yake.Basi kamuulize Lowassa au Sumayi kama humwaamini Waitara au wale wabunge wengine waliohama hicho chama cha saccos.
Mtamkumbuka Dkt. Slaa!
Kosa ni la wapiga kura kwani cha mlevi huliwa na mgema.Siasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile