Hivi kwa sasa Lowassa anazuia Mabadiliko gani chadema?Mkuu kama una namba yake, mshauri amsihi Lowassa warudi wote ccm. Wameifubaza cdm.
Lowassaphobia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa sasa Lowassa anazuia Mabadiliko gani chadema?Mkuu kama una namba yake, mshauri amsihi Lowassa warudi wote ccm. Wameifubaza cdm.
Mlevi unywa pombe akidhani kamaliza matatizo yake.Hahahahahaha jiwe na polepole mnaweza chezea pesa ya wanamchi kulazimishwa kipendwa wakati huohuo mnazuia uchaguzi usiwe huru
Ukitaka kumua mbwa au kumuacha mke lazima uwe na visingizoTatizo sababu wanazozitoa kwa kuhama kwao huwa hazina mashiko yoyote yale na badala yake zinawavua nguo na kuonesha ni kwa vipi hawawezi kutumia baraka waliyopewa na Mwenyezi Mungu za kuwa binadamu badala ya Ng'ombe!!
Sababu wanazotoa wengine mpaka wanatia aibu leo Mbunge wa Jimbo la Singida mashariki Tundu Lissu yupo hospital kwa muda wa mwaka baada ya jaribio la kutaka kumuua kufeli leo Mbunge anaenda kujiunga na hao maharamiaTatizo sababu wanazozitoa kwa kuhama kwao huwa hazina mashiko yoyote yale na badala yake zinawavua nguo na kuonesha ni kwa vipi hawawezi kutumia baraka waliyopewa na Mwenyezi Mungu za kuwa binadamu badala ya Ng'ombe!!
Peleka msuada bungeni wa kuruhusu utaratibu huo. Lingekuwa jambo jema lakini sheria zetu kwa sasa haziruhusu.Ahame na ubunge wake kuepusha ujinga wa kulipa kodi zinazoenda kutumika kwenye mambo ya kijinga.
Kabisa.Mwache aende.....
2020 chadema kitarudia status quo yao ya kuwa na wabunge wanne tu. Wameitumia vibaya fursa waliyokuwa wameipata. Yaani ruzuku kazi yake ni kulipia tu deni hewa la m/kiti wao. Yaani wabunge wao lazima 50% ya mishahara yao ipelekwe kwenye chama kulipia hilo deni hewa la m/kiti lisiloisha!! It is now over! Wamasai na wakurya wamekataa. Wambeya (wahehe) wamekataa. Kila mtu amekataa.Wakolomije watambue CDM ilikuwa na Wabunge Wanne tu kina Zitto na Slaa etc enzi hizo na ikavuma,kwa sasa wapo wengi,wameondoka hao wa3 bado wapo Majembe ya kutosha yasiyoyumba,ni kipindi cha mpito tu hiki,wachumia tumbo wanajichuja wenyewe vipande 250m vya fedha unauza utu.
Hizo ni Propaganda mkuu,hakuna mbunge anayekatwa 50% ya mshahara kulipia deni,ila nachojua kuna siku lazima michango itahitajika kwa ajili ya kufanya jambo la maendeleo kwa chama au emergency ikitokea mf Tundu alivyopigwa risasi,Wabunge walitoa michango.2020 chadema kitarudia status quo yao ya kuwa na wabunge wanne tu. Wameitumia vibaya fursa waliyokuwa wameipata. Yaani ruzuku kazi yake ni kulipia tu deni hewa la m/kiti wao. Yaani wabunge wao lazima 50% ya mishahara yao ipelekwe kwenye chama kulipia hilo deni hewa la m/kiti lisiloisha!! It is now over! Wamasai na wakurya wamekataa. Wambeya (wahehe wamekataa). Kila mtu amekataa.
Ahame na Lowassa wakeTaarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.
Kamuulize Waitara atakuambia ukweli.Hizo ni Propaganda mkuu,hakuna mbunge anayekatwa 50% ya mshahara kulipia deni,ila nachojua kuna siku lazima michango itahitajika kwa ajili ya kufanya jambo la maendeleo kwa chama au emergency ikitokea mf Tundu alivyopigwa risasi,Wabunge walitoa michango.