Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Hizi ni siasa chafu. Tusipokuwa na mikakati kiukweli hawa jamaa watatutia hasara kama nchi.
 
Siasa bana..
Mbunge / anahama chama kwa madai kwamba wabunge wa upinzani wanalazimishwa kupinga bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti alafu unahamia chama ambacho wabunge wanalazimishwa kupitisha bajeti na wakifanya vingine wanaonekana wasaliti vilevile
Huko nape kila siku anaisema serekali na bado haitwi msaliti kikubwa chadema wanatakiwa watafute chanzo cha tatizo
 
Inakatisha tamaa sana yaani watu wanateseka kwa kukosa mahitaji muhimu still bado watu wanalazimisha ili uchaguzi urudiwe?
 
Hivi hawa watu wanahama kwa ridhaa yao kweli?

Napata wasiwasi.
 
We are retarding in a very fast rate, we better not have this mp, we don't have use with them. God forgive us. Tunatesa wananchi kwa ubinafsi. Why can't you wait till 2020!?
 
Wakati umefika sasa wananchi watambue hawa wanasiasa kipaumbele chao ni 'uchaguzi ujao' sio maendeleo kwa taifa.

Tutatumia tena kodi za wavuja jasho kumrudisha huyo aliyejiuzulu bungeni,wakati huo 2020 sio mbali.
 
Ingewezekana tungeomba no uchaguzi for these mp defector's
Wakati umefika sasa wananchi watambue hawa wanasiasa kipaumbele chao ni 'uchaguzi ujao' sio maendeleo kwa taifa.

Tutatumia tena kodi za wavuja jasho kumrudisha huyo aliyejiuzulu bungeni,wakati huo 2020 sio mbali.
 
Nacheka Sana ujue Ni Kama vile Simba inavyokazana Yanga ife kwa kuwachukulia wachezaji wazuri na kuififisha ili ikicheza ishinde lakini bila kujua na wao kufanya hivyo wanaua soka na kukosa creativity.Namaanisha CCM tumekosa ubunifu matokeo yake ndio Hayo mwisho wenyewe watakuwa fixed.haaaaaRaisi tunakuunga mkono chapa kazi miaka 10 haitoshi tunakupa utawale maisha.
 
Wanaofuatia ni Mnyika, Bananga na Meya wa Jiji la Dar. Prof J hati hati.

Kigoma Ujiji kuna dalili madiwani wote wa ACT wakajiunga na Chama la Wakubwa, Otherwise wote hawarudi Halmashauri ikivunjwa.

Yote kwa yote hili zigo ni la Mbowe. Alichanga karata vibaya 2015.

2020 sijui kama wabunge wa5 watafika.
 
Back
Top Bottom