Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Mtu mwenyeuwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kuinga mkono chadema hii
 
Mi naona sawa sasa mnataka nchi yetu iwe haina record yoyote,kuweni wazalendo bhana
 
Kwa nini iwe usiku na haraka hivyo?

Mie nilisubilia kesho kumbe zege halilali

CHADEMA mjifunze kupokea mizigo isiyo bebeka
 
Huko nape kila siku anaisema serekali na bado haitwi msaliti kikubwa chadema wanatakiwa watafute chanzo cha tatizo
Kila anayondoka anatoka na sababu zake

System inakitaka kiti cha Mbowe!

Picha itasomeka baada mbowe kula mvua ya miez 6
Akirejea uraiani anakuta system washaweka mwenyekiti wao pale
 
Pale kibanda kinaposhika moto na wenye nyumba wapo ndani raha mustarehe. Kuna tatizo sehemu...
 
Waende tu bwana kwani shida iko wapi? Hata Mbowe mwenyewe akitaka kuhamia huko aende tu, wala mimi asiniage kabisaaa,, tutabaki tunaojitambua! Mimi atakayeniliza akihamia CCM ni Lissu tu zingine hizi ni takataka tu (Kwa sauti ya Jacob)
Mbona Jacob kapoa sana siku hizi? Au naye anajiandaa kuzifuata “takataka” huko zilikoenda?
 
Naomba kuwauliza wanaCCM,

Hivi Unajisikiaje unapoona mpinzani anahamia CCM halafu "anakaribishwa" na kiti cha uongozi?

Wewe MWANACCM uliye "kipigania" chama ukitegemea "mkono wa pongezi " unajisikiaje rohoni unapoona hili?

Wewe MWANACCM unayeshinda mitandaoni ukipiga propaganda za "kutetea chama" unajionaje kuona hali hii?
 
Hapa duniani hakuna binadamu ambaye si mchumia tumbo. Hata mimi na wewe sote ni wachumia tumbo. Ila binadamu wengine wamezidi mno!. Yaani ruzuku yote ya chama kila mwezi inaenda kwenye tumbo moja kulipia madeni hewa yasiyoisha. It is just too much 'uchumia tumbo'!
Unajisikiaje kuona mpinzani anahamia ccm na kupewa uongozi huku wewe kada mtiifu ukiachwa? Huoni kama kuna tatizo mahali?
 
Huyu jamaa nilimwona ana msimamo sana. Anyway hata Yuda Iskariote alikuwa mtu mwenye msimamo sana!


Kheri ya Yuda ilijulikana bayana usaliti wake ulikuwa kwa gharama ya vipande vingapi vya fedha.

Kheri ya Yuda alijutia makosa yake na kujipa adhabu Kali sana.

Kheri ya Yuda usaliti wake ulikuwa kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu.


The Lord said to Gideon: "Your army is too large. If Israel should win the victory, they would say, 'we won it by our own might.' Send home all those who are afraid to fight."
"Whoever is afraid of the enemy may go home." But the army was stronger though it was smaller, for the cowards had gone, and only the brave men were left.
But the Lord said to Gideon: "The people are yet too many. You need only a few of the bravest and best men to fight in this battle. Bring the men down the mountain, past the water, and I will show you there how to find the men whom you need."
These are the men whom I have chosen to set Israel free."
Gideon counted these men, and found that there were only three hundred of them,
So Gideon, at God's command, sent back to the camp on Mount Gilboa all the rest of his army, nearly ten thousand men, keeping with himself only his little band of three hundred.
Gideon's plan did not need a large army; but it needed a few careful, bold men, who should do exactly as their leader commanded them.


" the remnant shall return"
 
Masikini JK aliponipa mkopo 100% sijui kwanini hakupata watu wa kumuunga mkono. Alipojenga mabarabara na hospitali kubwa kubwa sijui kwanini hatukuhama kumuunga mkono! Alipopandisha kima cha chini sijui kwanini hatukuhama.
 
Mtu mwenyeuwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kuinga mkono chadema hii
Ila anaweza iunga mkono CCM ambayo kwa miaka 50 imeshindwa kututoa kwenye umaskini ilihali tuna rasilimali zote.....

Embu nipe sababu moja kwanni mtu ajiunge CCM?? hvi hta sera ya ujamaa kuna hata mmoja anaitekeleza ndani ya CCM nitajie hata mjamaa mmoja tu humo CCM.
 
..sikiliza Mh.Kalanga alivyokuwa akimtukana Dr.Mollel kwa kuhama chama.


Ndio sababu najiuliza mkuu,inawezekana kuna kitu wamefanyiwa,kuna nguvu nyuma ya kuhama kwao.

Ulishawahi kuona mtu anaambiwa fanya jambo fulani,kama hutaki nakuharibia.

Sio akili ya kawaida hii.
 
Back
Top Bottom