Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

Elections 2015 Mbunge wa Jimbo la Monduli, Julius Kalanga (CHADEMA), ajiuzulu na kuhamia CCM

s
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.

======

UPDATES; 00:15HRS
View attachment 823188
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Monduli kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Mhe. Julius Kalanga amejiuzulu na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM muda huu kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi Rais Magufuli. Amepokelewa na katibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole.

Siasa za uhasama, malumbano na chuki zimeniondoa CHADEMA. Nimeamua kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa maslahi ya taifa... Kwa sababu huwezi kufanya hivyo ukiwa upande wa pili, lazima utaonekana msaliti tu... Wana Monduli naombeni mnielewe, nitakuja kuzungunza nanyi," Julius Kalanga Laizer, aliyekuwa Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CHADEMA.

Julius Kalanga aliwahi kuwa diwani kupitia CCM, kabla ya kuhamia Chadema 2015
siasa zina wenyewe bhana
 
shida ipo mkuu, tunaingia gharama ambazo hatukuzipanga
Kitendo cha kukubali demokrasia kilitosha kabisa kuhalalisha gharama hizi. Tusilalamike, hizi ndizo gharama za kuwa na demokrasia ya watu kuwa na uhuru kuamua, kusema, na kutenda kila wanachoona kinawafaa iwe wao wenyewe ama taifa kwa ujumla.
 
tumechoka hela hakuna alaf watu wanatumia hovyo
Basi jinyonge. Mwenyekiti anaendesha chama kama ngo yake binafsi mkitegemea nini? Na bado, bila mabadiliko makubwa ndani ya chadema itakufa. Nyie endeleeni kujipa moyo tu kwamba wamenunuliwa.
 
Hana
Taarifa za uhakika kutoka ndani ya Mkoa wa Arusha zinasema Mbunge wa Jimbo la Monduli Juliasi Kalanga kuhamia CCM kesho majira ya saa nne asubuhi.

======

UPDATES; 00:15HRS
View attachment 823188
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Monduli kwa Tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Mhe. Julius Kalanga amejiuzulu na kujiunga na Chama cha Mapinduzi CCM muda huu kwa kile alichoeleza kuwa ni kuunga mkono juhudi Rais Magufuli. Amepokelewa na katibu mwenezi wa CCM ndugu Humphrey Polepole.

Siasa za uhasama, malumbano na chuki zimeniondoa CHADEMA. Nimeamua kuiunga mkono serikali ya awamu ya tano kwa maslahi ya taifa... Kwa sababu huwezi kufanya hivyo ukiwa upande wa pili, lazima utaonekana msaliti tu... Wana Monduli naombeni mnielewe, nitakuja kuzungunza nanyi," Julius Kalanga Laizer, aliyekuwa Mbunge wa Monduli kwa tiketi ya CHADEMA.

Julius Kalanga aliwahi kuwa diwani kupitia CCM, kabla ya kuhamia Chadema 2015
Jipya kachanganyikiwa Hug
 
Amehaidiwa kugombea na kushinda kwa gharama yoyote ile! Hii ndiyo demokrasia ya awamu ya tano. Tutashuhudia mengi awamu hii.
 
Wakati mwingine siasa n mfano Wa biashara kwamba lazima kuwepo na competitors ambapo ndani ya hao competitors lazima kuwemo na lawama, chuki,malumbano nk hivyo unaposema unahama chama sababu ya malumbano au chuki au lawama basi wewe huwezi kuwa mshindani,,, tiyari ushaonesha weakness yako huwezi kupambana na changamoto zitakazo kuface wew kama kiongonend
 
Unga mkono baba tena kaunge hata na mguu kwakua nasari na lema walushatuonesha kinachoendelea nenda BB tulkupenda ila mungu akupende zaid
 
Hizi pesa za kununulia wabunge ni bora wakaboreshe huduma kwa mama na mtoto mahospitalini
 
Hawa wabunge inabidi tuanze kuwashataki sasa, kununuliwa ni kosa la jinai, uchunguzi ufanyike!
 
Basi jinyonge. Mwenyekiti anaendesha chama kama ngo yake binafsi mkitegemea nini? Na bado, bila mabadiliko makubwa ndani ya chadema itakufa. Nyie endeleeni kujipa moyo tu kwamba wamenunuliwa.
Nyani haoni kundule magufuli yeye anaendesha ccm kama cbo hakuna anayekohoa na askari juu kawageuza wana ccm kwa doto zake mbovu anadhani anaua upinzani kumbe anajiua
 
Nyani haoni kundule magufuli yeye anaendesha ccm kama cbo hakuna anayekohoa na askari juu kawageuza wana ccm kwa doto zake mbovu anadhani anaua upinzani kumbe anajiua
Kwa kuwa magufuli anaendesha chama chake hivyo basi ni sawa tu hata mbowe akiiendesha chadema hivyo? Kama ni hivyo kuna sababu gani sasa ya kuiondoa ccm na kuiweka chadema kama hazina tofauti yoyote?
 
Yap ndugu upo sawa make hapa sisi ndo kodi zetu zinaumia kwani ameshindwa nini kuvumilia uchaguzi mkuu ujao ili kuokoa gharama
Nadhani tume ya uchaguzi ianze kutumia busara na kuokoa fedha hizi za uchaguzi au aidha jimbo likae wazi mpk hiyo miaka
Poa tu ila ningetamani usiwepo uchaguzi marudio badala yake huyo huyo alipe gharama za kuuchafua uchaguzi uliopita kwani alitunyima kumchagua tuliyempenda wa ccm
Yap ndugu upo sawa make hapa sisi ndo kodi zetu zinaumia kwani ameshindwa nini kuvumilia uchaguzi mkuu ujao ili kuokoa gharama
Nadhani tume ya uchaguzi ianze kutumia busara na kuokoa fedha hizi za uchaguzi au aidha jimbo likae wazi mpk hiyo miakaYap ndugu upo sawa make hapa sisi ndo kodi zetu zinaumia kwani ameshindwa nini kuvumilia uchaguzi mkuu ujao ili kuokoa gharama
Nadhani tume ya uchaguzi ianze kutumia busara na kuokoa fedha hizi za uchaguzi au aidha jimbo likae wazi mpk hiyo miaka 2 ijayo
Au km yeye agharamie hizo gharama
 
Kuna siku haya yote yatakuwa ni ubatili tu.
 
Kwa kuwa magufuli anaendesha chama chake hivyo basi ni sawa tu hata mbowe akiiendesha chadema hivyo? Kama ni hivyo kuna sababu gani sasa ya kuiondoa ccm na kuiweka chadema kama hazina tofauti yoyote?
Hivi ccm ni chama ama kikundi cha wahuni tu
 
Back
Top Bottom