Ni wapi ulifanya research ikaonyesha kwamba, ubongo wa Mwanadamu ili aelewe kile kinafundishwa, inahitajika miaka mitatu ama mwaka mmoja darasa moja?Asamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge
Msomi Gani.wewe unaye shindwa kumwelewa hapa,na kuishia kutuletea hapa tuhuma zisizo na.ushahidi,hapakuwa na Serikali kipindi hicho!?Kwa Taarifa Yako hii ni aina ya uwasilishaji wa ujumbe ya kiwango Cha juu kabisa,wasomi wa makaratasi anawaacha hewani wakieleaHuyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Huyo Yuko Makini Sana anapotoa hoja,usikariri elimu ya kizungu,tulia na uelewe hoja zake.Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree
Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Usimjadili yeye Nini alifanya,jadili hoja yake,hata wewe wanaokujua yawezekana Kuna mengi maovy umefanyaHuyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Kama kweli ametajirika kwa njia hiyo mpe heshima yake.Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Na wewe, toka Kwenye branketi la usomi uone na kujifunza kutoka kwa wajinga!!Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Acha uongo wa mchana wewe.Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
EEHSina kitu nimefanya
Inawezekana sana,kuna mambo mimi nimesoma BCOM mpaka leo sijawahi kuyatumia kabisa,mfano Queuing Model sijui Assignment Model,yaani wangeenda kuuliza waajiri wanataka nini nakwambia miezi mitano mingiAsamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge
Unatoa allegation bila ushaidi wowote mbaya zaidi unakuta na wewe umesoma degree ya miaka mitatu🤣🤣🤣Huyu ni comedian tu na anataka siku zote kuwadharau waliosoma kwa vile yeye ni Darasa la 7. Bado watu hawajasahau namna alivyofanya uharamia wa biashara ndani ya Lake Victoria. Amebeba Sana magendo, amekwepa sana Kodi, ameua sana maafisa wa Serikali.
Na mara ya mwisho kwenye miaka ya mwanzo mwa 2000 alihusika kuwamwagia watumishi wa TRA tindikali. Kisha alipokuwa wanted akakimbilia Zimbabwe.
Kishimba hata madawa ya kulevya ameuaza Sana kwa kubeba kwenye magari yake kati ya SA, Zimbabwe na Tanzania.
Asidharau elimu kwa vile ametajirika kwa njia OVU
Ana hoja kuzidi hata ma Dr. wa pale mjengoni.Maana anazungumzia elimu kama vile ni msomi aliyepitia shule za level zote. Nimempenda, kuna kitu anatamani kifanyike ktk mfumo wa elimu ambacho Prof. Ndalichako hata hajakijua!Hapana mfatilie Kwa makini huku ukiwa neutral utagundua ana hoja zenye mashiko kwenye 'upuuzi' anaoongeaga
Exactly..ana hoja Sana Ila tatizo 'sisi wasomi' tuna Tabia ya kumshambula mleta hoja badala ya hoja zenyeweHoja yake ni ya msingi lakini
Tupo pamoja mkuuExactly..ana hoja Sana Ila tatizo 'sisi wasomi' tuna Tabia ya kumshambula mleta hoja badala ya hoja zenyewe
Tayari kuna ambao wanasema hajui chochote Kisa elimu yake
Tatizo the so called wasomi wanamshambulia badala ya kujibu hojaKwenye hili yupo sahihi na ana hoja za msingi sana.
Kama unamaanisha uyasemayo,Basi,bado sanaHuwa ana hoja nzuri sana huyu mbunge
Same to me pia, nimependa katoa na ufafanuzi wa kile alichokikusudia.Tatizo the so called wasomi wanamshambulia badala ya kujibu hoja
Kwangu Mimi kila alichokiongea kina make sense