Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Yes Mimi si mfatiliaji wa siasa lkn nikimsikia jamaa anaongea nakaa Kwa kutulia kumsikiliza..hoja zake zina make senseHaa ha haa; usimfananishe huyu na Msukuma bwana, huyu mwamba huaga ana HOJA fikirishi sana, Msukuma ni mropokaji tu, hanaga point kiviile kama huyu
Umeongea point mkuu..jamaa yupo vizuri kichwani lkn 'sisi wasomi' tunamshambulia badala ya kujibu hoja zake zenye mashikoHigh thinking capacity huyu jamaa na while ajaenda
Ndio maana wasioenda shule uwa wanakuwa matajiri huku walioenda shule wanabaki kukimbizana na vibarua
Hivi huyu naye ni kampuni ya std 7?Nilicheka Sana aliposema wanaosomea taaluma km ya udaktari ni Sawa Tu wakisoma chuo miaka mitatu maana anachokisomea anafanya practical kwenye hospitali,Hilo wwnanchi hatuna tatizo nalo,sasa wenzangu na mie mfano mtu anasomea procurement sijui wenyewe mnaita manunuzi unasomaje chuo miaka mitatu..unanunua nn miaka yote hiyo km siyo kupoteza muda tu..yaani unasomaje miaka mitatu manunuzi alafu unarudi nyumbani unamwambia mzazi nimesomea manunuzi Nani sasa atakuajiri kwenye Duka,miezi name inatosha degree
Huyu Mwamba na msukuma wananifurahisha sn
Wewe uliye serious toa suluhisho la hili tatizo la ajira.Asamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Elimu inahitaji marekebisho makubwa sana@ haliwezekani mtu ana bachelor ya economics, lakini bado mia tano ya vocha inampiga chenga mpaka apige mzinga kwa mdogo wake aliyemaliza la Saba tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ngoja waje wazee wenyewe na porojo zaoSometimes yuko sahihi.
Miaka 3 unasomea degree ya sociology ili iweje?
post yako ina typing errors nyingi,Ila km nimekuelewa;kuhusu elimu yake sina uhakika lkn Kwa comments nyingi za humu zinaonyesha ni std 7Hivi huyubnaye ni ksmpuni ya std 7?
Kabisa, hata wakati yupo DIT, kipindi namaliza watu walikuwa tayari wameshapata ajira, ukimaliza mtihani wa mwisho, unaenda kupiga kaziHii kitu alikua anaifanya dkt Richard masika akiwa mkuu wa chuo pale ATC.
Vijana wa mwaka wa mwisho walikua wanaenda interview mara kwa mara hata chuo hawajamaliza.
Wakimaliza tu,
wananyakuliwa juu kwa juu.
ALIKUJA KUONDOLEWA PALE KIHUNI SANA kwa KUTOFAUTIANA MTIZAMO NA JIWE
Kuna vyuo duniani vinavyofanya hivyo. Kwa mfano kama unasomea Nursing, chuo kinakuwa na uhusiano maalum na mahospitali huko na wanafunzi wake wanakwenda huko mahospitalini mara kwa mara kwa ajili ya practicals na mambo mengineyo. Wanaanza mapema wakiwa mwaka wa kwanza. Wakija kufika mwaka wa 3 wanakuwa wameshajenga mahusiano na hospitali hizo na inakuwa rahisi sana kwao kuajirika moja kwa moja. Na unakuta hospitali zingine zinaanza kuwatumia hata kabla hawajamaliza chuo.Huyu dingi nae inaelekea kichwani hamnazo... Vyuo viwatafutie wanafunzi ajira kwani ni kazi yao hiyo? Inawahusu nini.
Hapana mkuu hoja zake zina mashiko sn, mtu ana CPA lakini ana andika vocha, kweli?
Mkuu Pilot wa Ndege za Jeshi la Marekani ana 21 years of age... je kwa Mtanzania anahitaji umri gani aendeshe dege la Bilion za Kitanzania angani na itue salama waeza Tafuta Pilot wa umri huo Tanzania? ndio ujue huyo mzee kuna vitu anavielewa so anatumia Siasa kufikisha ujumbe... Tanzania tunadeal na ufuata fuata wa kizamani wakati watu wanasomea ajira sio tunasomea sifa... Ndio Maana Ma prof wengi kazi zao ni kufundisha tu kwani wanapenda elimu... So Kwa maisha ya sasa tunatakiwa kufanikiwa kimaisha na sio kufanikiwa kielimu so elimi tusome kufahamu tunachokihitaji kwa 100% Mzee yupo rightUkiwa na mbunge msomi lazima aongee kisomi na ukiwa na mbunge kanjanja Ni lazima aongee kiukanjanja,dunia nzima upo utaratibu wa kusoma elimu ya juu,sio miezi 8 urudi nyumbani,huyu mzee upeo wake upo hivo.
Wewe ndio wa kusamehewa mzee kachana live na fact... mfano Gahrib Bilal kasomea Nuclear hadi sijui phd kuna kampuni ya kumpa kazi Tanzania? ilibidi akimbilie Siasa tu.Asamehemwe, hajui alisemalo. Yaani elimu ya miaka mitatu itolewe kwa miezi nane? Hayuko siriasi kabisa huyo Mbunge
Nafikiri anamaanisha vyuo vifanye tafiti upya juu ya idadi ya fursa za ajira zilizopo kwenye kozi wanazofundisha. Sio kuzalisha wasomi wengi kwenye kada ambazo practically hazina soko kwenye jamii yetu.Huyu dingi nae inaelekea kichwani hamnazo... Vyuo viwatafutie wanafunzi ajira kwani ni kazi yao hiyo? Inawahusu nini.
Kiwango chako cha elimu ni sawa na Kishimba?Msomi Gani.wewe unaye shindwa kumwelewa hapa,na kuishia kutuletea hapa tuhuma zisizo na.ushahidi,hapakuwa na Serikali kipindi hicho!?Kwa Taarifa Yako hii ni aina ya uwasilishaji wa ujumbe ya kiwango Cha juu kabisa,wasomi wa makaratasi anawaacha hewani wakielea