Mbunge wa Kahama Mjini(CCM), Jumanne Kishimba ashauri Serikali kuanzisha chuo cha wizi

Hivi yule fisadi mkata mauno aliyetumbuliwa na mkulu vipi alisha fikishwa mahakamani?
Ukiwa na chapa hizo Mambo hazikuhusu.
Kule ni kwa wasiotaka kusifu na kuabudu.
Sifu abudu kila upatapo camera sifu asubui,sifu mchana,sifu jioni ndio Kinga pekee ya utumbuzi,jela,au kupata teuzi.
 
Mtumeeeeeeeee!
Ukiwa na chapa hizo Mambo hazikuhusu.
Kule ni kwa wasiotaka kusifu na kuabudu.
Sifu abudu kila upatapo camera sifu asubui,sifu mchana,sifu jioni ndio Kinga pekee ya utumbuzi,jela,au teuzi.
 
Kwa bahati mbaya hukumuelewa! Alitaka kusema kuwa kuwepo na mtaala unaoelezea jinsi wizi unavyotamalaki ikiwa na jinsi ya kumkamata Mwizi . Ili wahitimu wetu wakifika kazini wataweza kugundua mapema wezi. Kuna usemi wa kiswahili usemao kuwa Mwizi hushikwa na mwizi mwenzie.
 
Kwahiyo polisi wanavyo kamata waarifu na wao ni wezi??
 
Prof Assad aliwaonesha mwizi,hawa akina kushimba sijui kisima na bunge lao dhaifu wakamshumbulia Assad badala ya kumkamata mwizi waliooneshwa
 
Yawezekana hujaielewa na kupitia maandishi yako mafupi nimepata maana pana kuhusu wewe na unachokiamini hii ndio tofauti ya mtu aliyesoma philosophy na ambaye hakusoma
Usini quote in negative sense, ni kuwa nimependa the approach nothing else
 
Nawaza siku huyo mtu atakapoikosa ajira huku akiwa amefuzu mafunzo ya wizi na kufaulu kwa kiwango cha juu.
Wajuzi wa mambo haya tusaidieni
 
ulikuwa na wazo zuri mkuu, ila umeshindwa kuchagua njia nzur ya kupangilia hoja yako, polee kwa wanaokupa majungu
 
Kishimba yuko sahihi! Kama UDSM na IFM nao wameibiwa huku kwingine sindio baraa!
Hicho chuo cha wizi nimuhimu japo kibadirishwe jina kiwe chuo cha kujua mbinu za mwizi na kumdhibiti kabla ya kuiba tanzania. Kifupi.. CKKMKKT
 
Write your reply...Huyu nae akili yake haina akili. kavimbiwa!!
 
Tukiacha kumjadili huyu Mbunge na kuchambua falsafa ya anachoshauri utaona huwa anapinga watawala kwa staili mpya na kupendekeza solutions kwa shadow effect. Tujadili inakuwaje mpaka RPC anajiibia au judge anajihukumu!?
 
It's a question of language interpretation! Ametumia lugha ya wizi lakini kinachoitwa antifraud ni kile kile. Wahasibu wakifundishwa kwa makini juu ya antifraud wanajitambua wanavyobiwa au wakaguzi watajua wahasibu wanavyoiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…