Mbunge wa Kaliua Ameitaka Kampuni ya CCECC Kuwapatia Vijana Ajira

Mbunge wa Kaliua Ameitaka Kampuni ya CCECC Kuwapatia Vijana Ajira

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE WA KALIUA AMEITAKA KAMPUNI YA CCECC KUWAPA VIJANA AJIRA

Mbunge Jimbo la Kaliua, Tabora Mhe. ALOYCE KWEZI ameitaka kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) Inayotekeleza Mradi wa Ujenzi Reli ya KALIUA - MPANDA Kwa kiwango cha MGR kuwapatia Ajira vijana wa Wilaya ya Kaliua.

Amemtaka Mkandarasi kudumisha Mahusiano Mazuri na Jamii iliyokaribu na Mradi. Amesema hayo alipotembelea Karakana ya Zugimlole baada ya kupokea Malalamiko alipokuwa kwenye Mikutano na Wananchi jimboni
 

Attachments

  • FrAEoocWYAA_Gy1.jpg
    FrAEoocWYAA_Gy1.jpg
    83.9 KB · Views: 8
Hawa CCECC inaonesha taifa kubwa.

Daraja la Kigongo-Busisi ni wao,SGR Mwanza-Isaka ni wao,MGR Kaliua-Mpanda ni wao.

Wangekuwa wazawa lazima wangehusishwa na kiongozi wa juu.
 
Hawa CCECC inaonesha taifa kubwa.

Daraja la Kigongo-Busisi ni wao,SGR Mwanza-Isaka ni wao,MGR Kaliua-Mpanda ni wao.

Wangekuwa wazawa lazima wangehusishwa na kiongozi wa juu.

Hiyo ni kampuni ya kihandisi kutoka uchina ambayo inamilikiwa na serikali ya china kwa asilimia kubwa, na unapoenda kuomba mkopo moja ya masharti ni kuipa kandarasi kampuni yao na mnaposaini mikataba ya mahusiano lazima kampuni yao inufaike pia
 
Back
Top Bottom